Manwambele
Senior Member
- Jan 4, 2016
- 109
- 164
Pashia tu kwani oven ni kama jiko la mkaa lenye moto juu na chini.Habari za wakati huu wana jamiiforums,ndugu yenu nisiwachoshe niende kwenye mada.
Swali langu Nauliza,Je Oven inaweza kutumika kupasha chakula?
N.B Ninatumia oven ya Ailyons sasa natumia kubake na kuchomea nyama mbuzi na kuku but sijajua bado naweza itumia pia kupashia chakula
Majibu wanandugu na ikiwezekana kama ntapata kujua na tofauti kati ya oven na microwave?
Sent using Jamii Forums mobile app
Imefungiwa ndani haina madhara!Hivi hii Kitu mionzi yake kweli Ina madhara au Ni story tu?
Kuna mtu flani alikua anaishi huko kijiji Maisha yake yote,akapataga Kansa ya utumbo Sasa Dr. akawa anaelezea sababu za Hilo tatizo, katikati ya maongezi akasema kuweni Makini Sana na hizi microwave(nilistaajabu maana huyo mgonjwa mwenyewe hata microwave sijui hata Kama alikua anaijua Ni Nini).Imefungiwa ndani haina madhara!
Kuna mtu flani alikua anaishi huko kijiji Maisha yake yote,akapataga Kansa ya utumbo Sasa Dr. akawa anaelezea sababu za Hilo tatizo, katikati ya maongezi akasema kuweni Makini Sana na hizi microwave(nilistaajabu maana huyo mgonjwa mwenyewe hata microwave sijui hata Kama alikua anaijua Ni Nini).
Huyo doctor ni jauKuna mtu flani alikua anaishi huko kijiji Maisha yake yote,akapataga Kansa ya utumbo Sasa Dr. akawa anaelezea sababu za Hilo tatizo, katikati ya maongezi akasema kuweni Makini Sana na hizi microwave(nilistaajabu maana huyo mgonjwa mwenyewe hata microwave sijui hata Kama alikua anaijua Ni Nini).