Manwambele
Senior Member
- Jan 4, 2016
- 109
- 164
Habari za wakati huu wana jamiiforums,ndugu yenu nisiwachoshe niende kwenye mada.
Swali langu Nauliza,Je Oven inaweza kutumika kupasha chakula?
N.B Ninatumia oven ya Ailyons sasa natumia kubake na kuchomea nyama mbuzi na kuku but sijajua bado naweza itumia pia kupashia chakula
Majibu wanandugu na ikiwezekana kama ntapata kujua na tofauti kati ya oven na microwave?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu Nauliza,Je Oven inaweza kutumika kupasha chakula?
N.B Ninatumia oven ya Ailyons sasa natumia kubake na kuchomea nyama mbuzi na kuku but sijajua bado naweza itumia pia kupashia chakula
Majibu wanandugu na ikiwezekana kama ntapata kujua na tofauti kati ya oven na microwave?
Sent using Jamii Forums mobile app