Hata 3 rooms bed zinakubali bana ishu ni finishing mana kuna kigae bei yake ni twice ya Kingine na vyote vinamaliza nyumba.Ndio mkuu unaweza kujenga nyumba ya 2 bedroom, sitting room, dining , kitchen na public toilet.
For more consultation, 0673586009
Ikiwa na gari la kubeba mizigo. Unaweza, sana tu. Nyumba isiyokuwa na mbwembweHabari,
Me kijana wa miaka 21 naomba kuuliza nikiwa na Million 25 naweza kujenga nyumba au kijumba cha ukubwa gani?
Msaada please
Ahsanteni.
Kwanini uwe na pesa kuliko umri wako?
Zipo m50 kwenye Bank Acha Dharau kaka, utajuaje kama nmeshinda sportpesa
Bedroom 3 ni mziki maana hiyo bei ni Hadi finishing ya two bedroom house japo akijipinda anaweza jenga 3 bedroom simple kama hii hapa downHata 3 rooms bed zinakubali bana ishu ni finishing mana kuna kigae bei yake ni twice ya Kingine na vyote vinamaliza nyumba
labda iwe muundo wa darasaHata nyumba ya 4 bedroom inatosha hiyo pesa usitishwe humu!
Ngoja nikulee mchanganuo na ramani......
Kaka unaweza KUJENGA nyumba nzuri tena ya maana, kikubwa uwe na mtaalam mshauri wa ujenzi.Habari,
Me kijana wa miaka 21 naomba kuuliza nikiwa na Million 25 naweza kujenga nyumba au kijumba cha ukubwa gani?
Msaada please
Ahsanteni.
Kaka unaweza KUJENGA nyumba nzuri tena ya maana, kikubwa uwe na mtaalam mshauri wa ujenzi.
Pia, UVIMO tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari kuishi.
Kwa maana ya :
UVIMO,
1-Tunajenga
2-Tunapiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-USHAURI WA KILA KITU KUHUSU NYUMBA.
Wasiliana nasi kwa
0629361896
Tunapatikana Morogoro.