Wana jukwaa nawasalimu,
Kuna jambo nakabiliana nalo naombeni ushauri wenu nina mchumba wangu ila tumejaliwa mtoto mmoja hatujafunga ndoa bado.
Mwenzangu alipata nafasi ya kweda China masomoni kwa muda mfupi alivyorudi akaniletea simu IPhone, sasa tatizo lililonileta hapa toka aniletee hii simu imekua kama jini.
Mambo yangu yote ananifunulia hata nikitongoza tu msichana kesho yake hata niambia directly ila ntafikishiwa vijembe mpaka najishtukia michepuko yote na majina anaijua na yeye yuko mkoa tofauti, najihoji au ni hii zawadi au maana nasikiaga aina hii ya simu sio rahisi kufanyiwa mambo ya udukuzi.
Mwenye ujuzi zaidi anijuze
Kuna jambo nakabiliana nalo naombeni ushauri wenu nina mchumba wangu ila tumejaliwa mtoto mmoja hatujafunga ndoa bado.
Mwenzangu alipata nafasi ya kweda China masomoni kwa muda mfupi alivyorudi akaniletea simu IPhone, sasa tatizo lililonileta hapa toka aniletee hii simu imekua kama jini.
Mambo yangu yote ananifunulia hata nikitongoza tu msichana kesho yake hata niambia directly ila ntafikishiwa vijembe mpaka najishtukia michepuko yote na majina anaijua na yeye yuko mkoa tofauti, najihoji au ni hii zawadi au maana nasikiaga aina hii ya simu sio rahisi kufanyiwa mambo ya udukuzi.
Mwenye ujuzi zaidi anijuze