Je, nimuache huyu msichana?

Ulichokifanya ni kitendo cha kinyama sana. Muda wote huo yeye anakuonyesha upendo wa dhati. Hujali. Leo unaweza kusimama kwa miguu yako, badala ya kurudisha fadhila, unakuwa mtu wa kwanza kumjeruhi moyo wake. Tuseme ulimtamani au ulimfata ili umtese? Subiri nuksi lako litakalokupata. Litakua kubwa kuliko kufukuzwa kazi.
 

Matatizo kipimo... umejaribu kusaidia hata wa kibinadamu kutafuta msaada wa tiba? au mzee ndo usha kuwa Marioo kwa binti wa watu..
 
Usitafute sababu ya kumuacha kisa umeambiwa na shemeji huna akili angalia mapenzi yake kwako acha kumuumiza mwenzio kuhusu nuksi je kama ww ndio mwenye nuksi kwa sababu alipo anza mahusiano na ww anaumwa miguu
 
Kweli binadamu tumeumbiwa kusahau tulikotoka,roho imeniuma km Huyo Dada ndo Mimi.kweli mpenz wako anaumwa miguu anajiburuta kukupikia ,kukupokea upo tuu unamwangalia na bado unataka kumwacha, ni wazi kabisa humpendi kabisa huyo Dada bora umwache tuu kwa hiari tuu,Mungu atamsaidia atampata anayempenda kweli maana naona ww ulimtaman kwa sabbu alikuwa anajitoa kwako ulivokuwa huna kitu ,kwanza mpk umekuja kuomba ushaur hapa ushaamua kumwacha huna mapenzi nae....
 
Daaaah mtoa post wew s binadamu hufai kuwa na mpenz na hustahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…