Je, nifanyeje nisichepuke?

Je, nifanyeje nisichepuke?

Nop..... Ndomana nimeweka hizo option hapo juu......... Wew umekuja na kitu kipya..... Sio mbaya kuja na kitu kipya sasa nimeuliza nipate kujua unanijib kwaa hasira
Kama huwezi kuhimili mihemuko yako basi jibu unalo wewe na mungu wako na imani yako! Unaweka thread fashion?!
 
tena hao wabaya aisee huwa wanamanjonjo kiasi kwamba unajikuta unafanya ten night stand
Kumbe!! Sikujua Hilo....Sasa Unamhurumiaje??? No!! Basi Atafute Wa Kufanya Nae Phonesex, Hapa Napo Vipi??? Lakin Kuna Wake Wazembe!! Eti Hata Yupo Mbali Hawez Mridhisha Jamaa Yetu Thru PhoneSex??
 
Kaka Mwmabie Mkeo Muwe Mnafanya Phonesex Wajameni....Nalo Gumu??? Au Mimba Kubwa Sanaa Mpka Inashindikana?? Hili Linawezekana Kwa Mjamzito Pia.
 
Ushauri wako mzuri saana...... Ila wazazi ndo wametaka.... Wamesema hatuezi kukaa kama hatuna wazazi
Mimi ndio hapo sielewi kwa nini umpeleke mkeo akajifungulie kwao eti hana msaada.Kwani wewe unafanya nini!uwo ujinga sijawahi kuukubali hata kidogo tutabanana na wewe nitajifungua siitaji msaada wa mtu na nimezaa watoto wangu vizuri kabisa.Nashangaa unampelekea mtu mwingine matatizo yako.Jifunzeni kujitegemea kujifungua ni jambo la kawaida tu
 
Hahahahaaaaa sasa bro mwisho wa hiyo kitu inarudi wapi kama sio kwenye Nyeto.....????
Kaka Mwmabie Mkeo Muwe Mnafanya Phonesex Wajameni....Nalo Gumu??? Au Mimba Kubwa Sanaa Mpka Inashindikana?? Hili Linawezekana Kwa Mjamzito Pia.
 
Inao Unafuu Zaidi Ya Nyeto Ya Pekee Coz Ya Pekee Inaweza Kukuathir Kutegemeana Na Ubongo Wako...Mfano Ya Pekee Inakubid Kutafuta Hisia Mwenywe Wakat Ya Phonesex Hisia Anakupandisha Mkeo...Kuna Kautofaut Flan Braza. Isitoshe Sex Ni Ya Wawil. Na Phonesex Pia Ni Ya Wawil. Nyeto Ya Mtu Mmoja. Au Unaogopa Zile Aaaiiiii Sshhhhhiii Ooohhhhhh.......??
 
Sasa bro basi hata Saxtape pia sizinapandisha mihemko...???
Inao Unafuu Zaidi Ya Nyeto Ya Pekee Coz Ya Pekee Inaweza Kukuathir Kutegemeana Na Ubongo Wako...Mfano Ya Pekee Inakubid Kutafuta Hisia Mwenywe Wakat Ya Phonesex Hisia Anakupandisha Mkeo...Kuna Kautofaut Flan Braza. Isitoshe Sex Ni Ya Wawil. Na Phonesex Pia Ni Ya Wawil. Nyeto Ya Mtu Mmoja. Au Unaogopa Zile Aaaiiiii Sshhhhhiii Ooohhhhhh.......??
 
Sextape??? Sextape Inaweza Kuongea Kwa Wakati Huo?? Unajua Vizur Phonesexy?? Sextape Inaweza Kukueleza Kw Muda Huo Huo??
 
Nashindwa kuelewa hiyo ni only a week je ukisafiri mwezi itakuwaje?Vitu vingine nadhani tunaviendekeza wenyew
 
Wewe ni unataka kujua mambo ya nyeto.. huna cha mke kwenda kujifungua wala nini...

haya huko alikoenda kujifungulia ni Ulaya ama??? kila kitu kinawezekana kwako... hapa sas niko hosp na mke wa kaka yangu tangu jana kamleta hosp na hakumsumbua mtu na sasa anasubr opr na anasema tuendelee na shughl zetu hakuna shida lbd akijifungua na atatoa tahrifaa.
 
Hapana, usimsaliti mwenzio

Kumbuka umo ndani ya ndoa
 
wanawake wote hawa wanajitembeza tuu upige punyeto utakuwa ---- sana achana punyeto chaguwa mmoja au nunuwa mabox ya condom kama kumi hiv weka ndani kila siku unatembea nazo tatu ukijisikia unavaa moja unakata malaya au kahaba unampa buku ten unamkula hadi unarizika baadaye unarudi home hadi raha sana mie huwa naitumia njia hiii
 
Kaka.... Ushauri wako mzuri sana....... Ila sasa nahitaji kujua kwanini niache punyeto....???? Inamadhara gani.....???? Sababu michepuko nafahamu madhara yake

ina madhara kisaikolojia jaribu ku search nyuzi zinazoongelea madhara ya punyeto humu JF tulishajadili kwa kina tu
 
Kumbe!! Sikujua Hilo....Sasa Unamhurumiaje??? No!! Basi Atafute Wa Kufanya Nae Phonesex, Hapa Napo Vipi??? Lakin Kuna Wake Wazembe!! Eti Hata Yupo Mbali Hawez Mridhisha Jamaa Yetu Thru PhoneSex??
phonesex ili nalo point .. ila mke now yupo bussy na mtoto aisee
 
Mimi ndio hapo sielewi kwa nini umpeleke mkeo akajifungulie kwao eti hana msaada.Kwani wewe unafanya nini!uwo ujinga sijawahi kuukubali hata kidogo tutabanana na wewe nitajifungua siitaji msaada wa mtu na nimezaa watoto wangu vizuri kabisa.Nashangaa unampelekea mtu mwingine matatizo yako.Jifunzeni kujitegemea kujifungua ni jambo la kawaida tu
Kwanza ni experience nzuri kushuhudia mkeo akijifungua na wewe kuwa wa kwanza kukishika kichanga, nilishasema wangu sitaki aende kwa mtu kujifungua. Nakaa nae hadi nione kazi ya mikono yangu na Mungu wangu!!
 
Kama ulikuwepo kwenye akili yangu, huwa najiuliza kwa nini baba na mama wa mtoto mpya waishi tofauti. Mimi pia sikuwahi kupata msaada wa mtu mwingine zaidi ya baba wa watoto baada ya kujifungua mapacha. Inawezekana ila kuna wanawake wanajua kujidekeza wanataka waogeshwe na chupi wafuliwe kisa wamejifungua. Nyumba inajaa watu hata pakupumulia hamna eti wamekuja kumsaidia mzazi. Au mtu anasafirishwa kwa mama mkwe akifikiri atapata msaada anaambulia stress tupu. Haiwezekani mtu akarelax na kupumzika mahali ambapo hajapazoea.

Mimi ndio hapo sielewi kwa nini umpeleke mkeo akajifungulie kwao eti hana msaada.Kwani wewe unafanya nini!uwo ujinga sijawahi kuukubali hata kidogo tutabanana na wewe nitajifungua siitaji msaada wa mtu na nimezaa watoto wangu vizuri kabisa.Nashangaa unampelekea mtu mwingine matatizo yako.Jifunzeni kujitegemea kujifungua ni jambo la kawaida tu
 
Wewe starehe yako series, starehe yake mbunye, kuna ubaya gani? Usitake kulazimisha maisha unayoishi wewe kila mtu aishi.

Kama hufanyi ngono kina siku ni matatizo yako, wengine sisi ni 24/7, 366 other things remain constant.
Basi mwambie amrudishe mke wake aendelee na hobbie yake 24/7, na akirudi kutoka kujifungua tu kama ni mchana asingoje hata giza, aanze kugonga fasta. Alafu kama hobbie yenu ni mbunye amekuja kuomba ushauri wa nini?
 
Back
Top Bottom