Je, nifanyeje nisichepuke?

Je, nifanyeje nisichepuke?

JimCarrey

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
227
Reaction score
142
Wadau,

Mim ni mwanaume mwaminifu sana ndani ya ndoa yangu.Sijawahi cheat tangu nianze kuisi na huyu mwanamke mwaka jana mwez wa6.Kwa sasa mkewangu ni mjamzito na nimemsafirisha akajifungulie nyumbani sababu huku tulipo hakuna msaada wowote wa mtu wa karibu kama unavojua masuala ya uzazi.Sasa ni wiki tangu nimsafirishe mke wangu.Ukweli nimemmiss na nimekianza hiki kitabia cha punyeto.

Jamani napiga punyeto kilasiku.Sasa wadau hua nasikia hii kitu inamadhara fulani sasa naombeni ushauri maana asije akarudi wife akakuta sifunction tena.Sasa niendelee au nitafute mchepuko niwe najiliwaza nikimiss mambo fulani kipi bora?

Nitafurahi zaidi wanawake mkijitokeza kunisaidia kwa wingi.Assume ndo mumeo sasa na upo mbali nae.

Afanyaje? Ukizingatia wife anatarajia kurudi mwakani mwezi february
 
Wanaogopa KuAssume! Anyway, Nyeto Aina Madhara Hizo Ni Story Za Vijiweni. Kikubwa Kma Ni Kwa Miez Sio Mbaya..." Nyeto, Enjoy Urself"
 
Achana na mawazo ya michepuko pia achana na nyeto. Unashindwa vipi kuvumilia kwa miezi michache tu aunumekuwa kijogoo cha shamba? Vipi ungekuwa umeenda ulaya mwaka si ungeoa kabisa au vipi kama ikiyokea bahati mbaya umefungwa jela utafanyaje hebu acha kuendekeza mbunye
 
nunua mafuta ya KY ili mkono wako uwe mlaini zaidi.. usitumie sabuni mkuu .. ukianza kutumbukiza hiyo ndude kwa mwanamke mwingine unaweza nogewa ukamwona mkeo hafai
 
Kaka.... Ushauri wako mzuri sana....... Ila sasa nahitaji kujua kwanini niache punyeto....???? Inamadhara gani.....???? Sababu michepuko nafahamu madhara yake
Achana na mawazo ya michepuko pia achana na nyeto. Unashindwa vipi kuvumilia kwa miezi michache tu aunumekuwa kijogoo cha shamba? Vipi ungekuwa umeenda ulaya mwaka si ungeoa kabisa au vipi kama ikiyokea bahati mbaya umefungwa jela utafanyaje hebu acha kuendekeza mbunye
 
Achana na mawazo ya michepuko pia achana na nyeto. Unashindwa vipi kuvumilia kwa miezi michache tu aunumekuwa kijogoo cha shamba? Vipi ungekuwa umeenda ulaya mwaka si ungeoa kabisa au vipi kama ikiyokea bahati mbaya umefungwa jela utafanyaje hebu acha kuendekeza mbunye
Mwenzio Kishasema Anasikia Mihemko Uelewi Tuu?? !! Ujui Wengne Kujizuia Ni Kazi Ngumu Lakini Inawezekana!!! Anachotaka Kujua Ni Kma Nyeto Ina Madhara....Hili Maana Yake Kishaichagua Kma Njia Mbadala.
 
Mimi ndio hapo sielewi kwa nini umpeleke mkeo akajifungulie kwao eti hana msaada.Kwani wewe unafanya nini!uwo ujinga sijawahi kuukubali hata kidogo tutabanana na wewe nitajifungua siitaji msaada wa mtu na nimezaa watoto wangu vizuri kabisa.Nashangaa unampelekea mtu mwingine matatizo yako.Jifunzeni kujitegemea kujifungua ni jambo la kawaida tu
 
Back
Top Bottom