Usiijaze jaze mavitu yasiyo na maana, in terms of apps na filesSawa,ipo vizuri kwenye performance?haigandi kama hii infinix yangu?
Hiyo ni kama infinix tu kasoro jina, ninayo a13 haina tofauti na hizi infinixSawa,ipo vizuri kwenye performance?haigandi kama hii infinix yangu?
Wajua kutunza hongeraPia imekaa miaka 3 sasa nataka nichange
Asante kwa kushukuru.Asante
sas kazi ya simu ni nini kama sitakiw kujaza vitu?Usiijaze jaze mavitu yasiyo na maana, in terms of apps na files
Samsung A series zote n matolea ya china Vietnam Hizi za lak mbili laki tatu zimewekw chip na mazaga kama akina infinix na tecno ndo maan bei zipo chiniA14, A24, A34 zote ni level ya infinix tuu...
Ni bora kununua infinix ya laki 3 kuliko samsung ya laki 3.
Nakushauri angalau chukua kuanzia A34..
Umejuaje kama ni bro huyo??Usinunue bro !Hakuna simu apo