Amyner JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 2,396 Reaction score 883 Sep 21, 2011 Thread starter #21 Makindi N said: Ajira hizi ni km ndoa, waliomo wanataka toka, walio nje wanataka ingia.............. Click to expand... hahaha i like that..
Makindi N said: Ajira hizi ni km ndoa, waliomo wanataka toka, walio nje wanataka ingia.............. Click to expand... hahaha i like that..
Amyner JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 2,396 Reaction score 883 Sep 21, 2011 Thread starter #22 Husninyo said: Wengi hawapendi kazi zao na ndio maana hawazifanyi kwa ufanisi. Click to expand... Wala si uongo dear. Mfano kazi za wito. Waweza kuta mwalimu anawapiga watoto ovyo, ananuna bila sababu, pengine hafundishi ipasavyo au nurse aliye ward ya uzazi anapokuwa na roho ya kikatili utadhani kalazimishwa!!
Husninyo said: Wengi hawapendi kazi zao na ndio maana hawazifanyi kwa ufanisi. Click to expand... Wala si uongo dear. Mfano kazi za wito. Waweza kuta mwalimu anawapiga watoto ovyo, ananuna bila sababu, pengine hafundishi ipasavyo au nurse aliye ward ya uzazi anapokuwa na roho ya kikatili utadhani kalazimishwa!!