Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Hata miaka 18 siyo sahihi,Kwa wazazi, je ni sahihi kumnunulia binti yako wa miaka 14-15 simu hizi za kisasa huku bado anasoma?
Naomba kujua mawazo yenu, je ni sahihi na kama sio sahihi pia kwa sababu gani?
Ahsante.
ElveeSiyo sahihi kwa wote wa kike na kiume.
AbeeElvee
Abee
BabySio sahihi...
Subiri akifika chuo ndo aanze kuwa na simu.
Ubaby wetu ushakufa zamani..Baby
Heew!!Ubaby wetu ushakufa zamani..
Heew!!
Kulikoni mpenzi.,
Kunichoka mapema hv
Siwezi kukuacha,Ooh
We unaniacha huku unaenda kwa manka
Miezi yote hiyo
Ukichoka unakuja huku
Niache!
Siwezi kukuacha,
Hakuna cha manka wala nn...
Mqmbo mengi mpenzi...
Lkn bado sichoki kukupenda,
Wewe na mimi,
Leo...
Kesho...
Na hata milelele...
Nakupenda