okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,653
evelyn salt anaweza karibu yote isipokua moja tuuUncleben huko kwenu naona akina mama yeyoo wako vizuri sana, kila wakipewa maagizo na waume zao wanaitikia...eeeeeeeeh hawawezagi kupinga
Aisee namshukuru Mungu kiasi fulani hawa mama yeyoo wetu bado wana heshima sana kwa wanaume zaoUncleben huko kwenu naona akina mama yeyoo wako vizuri sana, kila wakipewa maagizo na waume zao wanaitikia...eeeeeeeeh hawawezagi kupinga
Sidhani kama umevuta/,utavuta hiyo mama yeyoo, mkiingia town mnawasahauAisee namshukuru Mungu kiasi fulani hawa mama yeyoo wetu bado wana heshima sana kwa wanaume zao
Hilo la usawa unalotaka ndio linafanya asiwepo mke wa dzain hiyo kwa sasaDuu its hard to be a woman
Sorry ningeomba muweke na majukumu ya wanaume ukiacha suala la hela(Maana tunatafuta woth both gender) hayo tu ntashukuru mleta mada
TatiZo wanaume mnataka muabudiwe kama Mungu ilhali nyie ni binadamuHilo la usawa unalotaka ndio linafanya asiwepo mke wa dzain hiyo kwa sasa
Tunawapenda sana wadada ila ukishapenda sana wanakupanda kichwaniWanaume msikimbilie kulaumu wanawake kwamba kwa nini wamebadilika.Ninyi mmetufanya tubadilike kabisaa.sasa hayo yote yanatakiwa yafanywe pale mwanaume anapompenda mke wake na kujua thamani ya mwanamke.wanaume wa Siku hizi mtalalamika sana kwanza hamjui wajibu wenu.wajibika utaona mwanamke alivyo.mwanamke ni mvumilivu sana lkn aligeuza shingo yake ni mtu mbaya sana.jitahidini kuishi na wake zenu kwa akili sio kila siku kulalamika.
Katika dunia ya sasa kuna vita vikubwa sana kati ya wanaume na wanawake tena vita baridi.tumebaki kulaumiana tu.Mungu atusaidie wanawake kujishusha na wanaume kuwapenda wake zao.
Duuuuh, bas c wote.Ni mwanamke gani wa leo atamfanyia mumewe hayo yote????? ni rahic zaid kuwa bilionea kuliko kumpata mke wa aina hiyo (labda Mungu akutunuku)...hlf kingine mwanamke wa leo anachotafuta kwenye uhusiano wa kimapenzi ni hela, au connection, hakuna kingine Vivac