Vipi kama 98 alikuwa na miaka 30?Mhenga kwa kusikiliza clouds ya mwaka 98?? Aiseeee
Nipo hapa babu yakoKuna watu ni baba / babu zetu humu asee
1999 ulikuwa wapi weyeJuzi ni lini bro? Taja mwaka imeanzishwa.
Secondary1999 ulikuwa wapi weye
Nilianza vibaya huo mwaka, nilishindwa kuripoti chuo, nilimtandika demu mimba, nikamkimbia(hofu ya utoto),mara paap!!! Kwenye foleni ya kumuaga Mwalim pale Taifa ndugu wa demu hawa hapa....1999 ulikuwa wapi weye
Duh! Kwa hiyo jamaa wakaku tight au ikawaje bro?Nilianza vibaya huo mwaka, nilishindwa kuripoti chuo, nilimtandika demu mimba, nikamkimbia(hofu ya utoto),mara paap!!! Kwenye foleni ya kumuaga Mwalim pale Taifa ndugu wa demu hawa hapa....
Ahsante Mungu kijana amesha kua leo tumetoka kutazamana utadhani mabeberu ya mbuzi.
Disco show kipindi cha Uncle J Nyaisanga...
Tulikatisha pale makaburini hadi home, ikawa kama suluhu imepatikana kumbe sio... Bwana bwana bwana....Duh! Kwa hiyo jamaa wakaku tight au ikawaje bro?
Nakumbuka kipindi hicho nilikua sijazaliwa na nilikua sijui kama nitazliwa
Lete hiyo story kakaTulikatisha pale makaburini hadi home, ikawa kama suluhu imepatikana kumbe sio... Bwana bwana bwana....
Nakumbuka enzi hizo ilikuwa kawaida kabisa kusibiria kipindi cha muziki mida ya usiku huku ukiwa na kaseti yako, unasuburia wimbo unaoupenda ukifika unaurekodi, Tulikuwa tunasubiria usiku kwa sababu mchana Dj alikiwa anaongea akijisikia wakati mziki unacheza na wimbo anaweza kuukata mapema,
Enzi hizo hakukuwa na chanzo cha taarifa cha haraka kukujibia maswali, mfano unaweza kunywa coca cola ila ukitaka kujua nani alie itengeneza ilikuwa ni shughuli pevu kweli kweli, siku hizi ni mwendo wa google, wikipedia, n.k
Kuwasiliana kwa njia ya barua na watu wa mbali, Nakumbuka barua zikifika kama ni ya mpenzi wako ilikuwa unaoga kabisa na kula kabisa kabla hujaisoma, sikwambie mtu, watu walijua kuongea kupitia maandishi.
Kulikuwa na vijiwe vya kupeana habari na kukutana na washkaji, ukibaki nyumbani utaboreka sana kwanza inakubidi tu utoke nje maana wenzako wote wapo nje, hakukuwa na kubaki ndani unachati, upo instagram, netflix, n.k