Dr ni kweli kuwa mwanamke asiyetoka ule ute unaovutika kama gundi hawezi kubeba mimba?
kwa kawaida mwanamke anatakiwa kutoka ute kabla ya tendo la ngono. hii hutoke pale mnapo tamanishana (chezeana , kufanya romans), kazi za ute huu ni kuzuia michubukko wakati wa tendo, na pia kusaidia mbegu za kiuume kwenda kwa haraka katika mirija ya mayai ya kike. kama mwana mke hatoki ute huo wakati huo basi ni kwamba bwana hajmridhisha na yeye hajapata nyege, au hana feeling, ni rigid.Dr ni kweli kuwa mwanamke asiyetoka ule ute unaovutika kama gundi hawezi kubeba mimba?
Dr ni kweli kuwa mwanamke asiyetoka ule ute unaovutika kama gundi hawezi kubeba mimba?