Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo nchini inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takriban asilimia 3.6.
Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili ya mabadiliko ya mfumo wa chakula unaotarajia kuongeza uzalishaji wa chakula, kuimarisha maisha ya watu na kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Serikali ya Rais Samia Suluhu inajua asilimia kubwa ya watanzania wamejiajiri katika kilimo ndio maana inaendelea kukipaisha kilimo kimataifa ili vijana wengi wajiajiri kwenye maana gharama za kilimo zimepungua lakini pia jitihada kadhaa zimefanyika, ikiwemo kuanzisha mradi kwa ajili ya vijana huku wakiendelea kuimarisha ukuaji wa shoroba za kilimo.
Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili ya mabadiliko ya mfumo wa chakula unaotarajia kuongeza uzalishaji wa chakula, kuimarisha maisha ya watu na kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Serikali ya Rais Samia Suluhu inajua asilimia kubwa ya watanzania wamejiajiri katika kilimo ndio maana inaendelea kukipaisha kilimo kimataifa ili vijana wengi wajiajiri kwenye maana gharama za kilimo zimepungua lakini pia jitihada kadhaa zimefanyika, ikiwemo kuanzisha mradi kwa ajili ya vijana huku wakiendelea kuimarisha ukuaji wa shoroba za kilimo.