Mr Tyang
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 1,728
- 6,803
Mimi hata kunyonyana mate tu mpk nijilidhishe na kinywa chako na ktk kumbkumb zangu sidhan km nishafanya huu uchafu wa kuzama Sijui sebuleni Ama uvunguni Wala hata salivary exchange na more than the trusted ones.
Na nahisi hii inatokana na malezi niliyolelewa utotoni ya kutumia kitu/Chakula chochote kilicho na mate ya mwenzio. Ko huwa nahisi km vyote hivyo Ni kinyaa maana havipo mwilin kwangu.
Na nahisi hii inatokana na malezi niliyolelewa utotoni ya kutumia kitu/Chakula chochote kilicho na mate ya mwenzio. Ko huwa nahisi km vyote hivyo Ni kinyaa maana havipo mwilin kwangu.