Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,489
- 21,253
Aisee
Nipo na mnigeria mmoja analaumu kwanini rais hatoki hadharani kusema lolote.Duh,picha zimeongea but sizani
Ila mzee toka atoke London hajawahi kuonekana hadharani
si ni yale yale ya kina wacko jackoFamilia yake unafikiri haijui Hilo..?
wengi nmeona wanablame kuhusu ilo swala mkuuNipo na mnigeria mmoja analaumu kwanini rais hatoki hadharani kusema lolote.
Haaa haaa watu noma sijui huwa wanachimbua wapi haya Mambo 😅🤣Nimeikumbuka ile stori ya mke wa Obama, Michelle eti ni mwanaume na si mwanamke. Sijui nayo iliishia wapi!!!!!
Unachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.Wafanye hivyo kwa faida ya nani?
Kama ni chama hata buhari akiondoka bado wangebaki na mamlaka.
Kwa binadamu kuna kuugua ,kukonda na kupungua
Kwa picha kuna angle, editing nk
Ni ngumu kutoa mtu nchi nyingine aje awe Rais, apewe mamlaka yote, maana anaweza wageuka hata hao waliomleta.
Tangazo la malkia lilikuwa feki!
Na hizi conspiracy theories hizi!
Hata Rais Jimmy Carter wa Marekani alifariki, akiwa madarakani, Inasemekana akaletwa clone ya Jimmy Carter
TipeCarte
Mbona ni mambo ya kawaida sana tu, hata yule rais wa Russia "Vladimir Putin" naye ameendelezwa mwingine lakini mwenyewe OG alishafariki siku nyingi tu.Tupe kastori kidogo basi
Facts tupu ..but it can be anything...niliwahi kuripoti kifo cha Buhari nikashukiwa kama mwewe...! Muda utasema...!!!!Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.
kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN
JE KUNA UKWELI JUU YA HILI
WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa
View attachment 1608027View attachment 1608029View attachment 1608030View attachment 1608032View attachment 1608033View attachment 1608034View attachment 1608035View attachment 1608036
Aisee.Mbona ni mambo ya kawaida sana tu, hata yule rais wa Russia "Vladimir Putin" naye ameendelezwa mwingine lakini mwenyewe OG alishafariki siku nyingi tu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Mtu original akishakufa kwanini walete bandia?Mara wanasema hata Kanye West na Eminem nao walishakufa kitambo hao waliopo ni wa bandia
Deep state. Condidential affairs. People will never understand how the world works if they are not aware.Mtu original akishakufa kwanini walete bandia?
Sijajua nia yao mkuuMtu original akishakufa kwanini walete bandia?
Deep state. Condidential affairs. People will never understand how the world works if they are not aware.
Okey.Sijajua nia yao mkuu
Dunia ya Leo imejaa watu na mashetani kibao,Mtu original akishakufa kwanini walete bandia?
DUNIA
Eminem nilisikia sana tu, na tangia huyu mpya aletwe hana mvuto wa original EminemMara wanasema hata Kanye West na Eminem nao walishakufa kitambo hao waliopo ni wa bandia