Je ni kweli Rais wa Nigeria, Buhari alishafariki toka 2017

Wafanye hivyo kwa faida ya nani?
Kama ni chama hata buhari akiondoka bado wangebaki na mamlaka.
Kwa binadamu kuna kuugua ,kukonda na kupungua
Kwa picha kuna angle, editing nk
Ni ngumu kutoa mtu nchi nyingine aje awe Rais, apewe mamlaka yote, maana anaweza wageuka hata hao waliomleta.
Tangazo la malkia lilikuwa feki!
Na hizi conspiracy theories hizi!
Unachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.
Wew Buhari wa kabla ya 2017 ulishawahi kuwa naye karibu,huyu wa sasaivi pia una ukaribu naye ili uweze kujiridhisha kuwa unawafahamu kwa karibu na hivyo habari ni feki au ni editing.
Kuna mambo ktk dunia hii yanafanyika ktk hali yaekushangaza kabisay.
Kuna mambo yanafanyika kwa akili ya kawaida unatafsiri waliofanya wamekosea au wanefanya kwa makusudi.Lkn kumbe yalipangwa yatokee hivyo kimakosa na yaonekane wamekosea,au makusudi yenyewe ilipangwa kwa makusudi ionekane ni makusudi. Hapo kuna lengo.
 
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.

kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN

JE KUNA UKWELI JUU YA HILI

WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa


View attachment 1608027View attachment 1608029View attachment 1608030View attachment 1608032View attachment 1608033View attachment 1608034View attachment 1608035View attachment 1608036
Facts tupu ..but it can be anything...niliwahi kuripoti kifo cha Buhari nikashukiwa kama mwewe...! Muda utasema...!!!!
 
Sasa yote hayo kwa faida gani?? Na ili iweje ,?? Ikiwa Katiba inatabua Kuna kifo na mbadala wake,

Bado nasubiria wajuvi sijaikubali hii taarifa.
 
Back
Top Bottom