Hicho kitu hakipo so usidanganywe ndugu,kitu unachoweza kudanganywa tu ni kwamba mtu anaweza nunua gari zanzbar iliyotumika miaka 6 alafu akaifikisha bara akafnga namba Dv sababu inaruhusiwa kisheria.
Ztajuaje kama ni gari ya zanzibar
1,condition ya gari inaweza isiwe nzuri hasa body upande wa rangi
2,Pia ukiangalia kwenye vioo vya side mirror vingi huwa vinaandikwa namba za zanzbar (plate no)
3,Ukiona gari huielewi unaruhusiwa kwenda kuangalia uhalali wake na historia ya ilikopitia kupitia ofisi za TRA samora