HahahaaaDoh! huwa hawasahau kuna mmoja nishawahi kumtoa na yuko kwenye mahusiano mengine ila kila tukikutana lazima anifungulie kipochi manyoya
i secondTo hit first or last it doesn't matter!! It matter only when you hit the right place
Naam love bMbalizi1!
Mmh. Haya.Ilikuwa miaka ileeeeee sio hawa wa sasa ambao wengi wao wanazaliwa bila hizo (birika) zenyewe
Lkn kuna baadhi wapo japo kwa shida sana
Hahahaaa. Nimejikuta nacheka kwa sauti. LolMim nalichukia jamani ,,,, yaani silipend silipend
Yaaani nikiliona ama kusikia mtu anamuongelea nachefukwa siku nzima mxeeew
Mngh!Mmh. Haya.
Mmh. Umejuaje sasa na wewe Mkuu?Huo ni ukweli usiopingika ndugu zangu, wanawake wenyewe wanaushahidi tosha
Guna tu rafiki. Ila sio kweli bana.Mngh!