kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,457
- 12,548
Eti wakuu,mfano labda enzi za ujanani ulikua na galfriend mkapeana mimba then mkakubaliana kuitoa,halafu labda kutokana na mihangaiko ya maisha mkaja mkapotezeana kila mtu akaenda njia yake.kuna ukweli kwamba mwanamke huwa hamsahau mwanaume wake wa kwanza kumtia mimba even if waliitoa hiyo mimba,na hata akiolewa na mumewe lazima tu atakua anammiss baba mtoto wake wa kwanza?