Mvua inayonyesha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2022
- 268
- 575
- Thread starter
- #21
AsanteeHAmna kitu kama hicho ukichoambiwa
AsanteeHAmna kitu kama hicho ukichoambiwa
Dah wait nimsubir mpk kesho nikiona anakazania nampeleka hospital then nione inamuda ganiDah namuonea huruma huyo binti anavojaribu kufanya maarifa mimba ileleke
Kweli kabisaa aiseeMwanamke akikupa mbususu kirahisi wakati sio mkeo ,na Zaman alikuwa anaringa jua huo Ni mtego , Huyo dem kakutega na umeingia 18
Kweli naona kama ni mtego kabisa ata roho inagomaa kabisaaUkiitiwa uroda na mwanamke mkwepee, achana na iyo maneno kuna mtego anakusetia.
10 daysNaskiaga n after 14days
Usapigwa mkuu amekupa ili uleee 😂😂😂😂😂😂imepita siku kama nane hivi demu anasema ana mimba.
Ushapigwa utalea mwana sio wake😂😂😂😂🤩🤩🤩.Sasa nauliza kweli mtu anaweza kujipima mimba ya wiki au siku nane
Mkuu kwanzia siku 14.Hapana nimekwambia ntapita nichukue tukacheki hospital na sijataka kupaniki
Ushayatimba....Jamani ndungu zangu wiki iliyopita ilikuwa Weekend baada ya kupiga vitu kidogo kuna demu nilikuwa namuelewa hivyo kuna hatua tayari nilikuwa nimepiga kwake hivyo tulikua na mawasiliano na ukaribu kidogo
Kwa hiyo siku hiyo baada ya kupiga vitu jioni hivi kama saa mbili nikawa narudi home ghafla simu ya huyu demu ikaingia nikapokea ile baada ya salamu aliuliza uko wap nikamwambia ndio narudi home hata hivyo yeye anakaa jirani na barabara ninayopita hivyo nikamwambia nikifika maeneo hayo nitakwambia ili nikupe hi kajibu poa
Sasa baada ya kufika nikajikuta tumeongea na kuondoka wote mpaka geto aisee na nikamla aisee dah Leo imepita siku kama nane hivi demu anasema ana mimba.
Sasa nauliza kweli mtu anaweza kujipima mimba ya wiki au siku nane , tisa akajua au huyu demu ananiletea mauzauzaa kabla sijaenda mchukua kumpeleka hospital
Mkuu ukienda hospital utaambiwa mambo mengi watakwambia hormones imbalance na mambo mengine.Dah wait nimsubir mpk kesho nikiona anakazania nampeleka hospital then nione inamuda gani
Yes. Nina uhakika 100% na jibu langu. Ila siyo wanawake wote. Inategemea. Mimi nilikuwa na wangu mimba ikiingia siku ya tano tayari anaonyesha mabadiliko. Kutapika sana sana. Pia kuwa na emotion. Narudia tena... siyo wanawake wote wenye reaction ya aina hiyo.Issue sio kutoa ila kutaka kujua ni kweli ni possible msichana amejipima na kukuta mjamzito kwa mda huo