Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kuna msemo usemao mpinzani kweli atatoka ccm lakini hebu tujiulize ivi ni kweli au sio kweli maana nimejikuta najiuliza yafuatayo
1.mrema na kundi lake walihama ccm na kuhamia nccr kisha mrema kugombea uraisi akiwa kama mpinzani mkuu lakini mwisho wa siku Leo hii yupo wapi
2.lipumba alihama toka ccm na kundi lake kugombea kupitia cuf akiwa kama mpinzani mkuu kuja upinzani akagombea uraisi akiwa kama mpinzani mkuu Leo hii yupo wapi
3.dk slaa alitoka ccm na kundi lake na kuhamia chadema kisha hapo badae akagombea uraisi kupitia upinzani mwisho wa siku Leo yupo wapi
4.lowassa alihama toka ccm kisha akahamia chadema na kugombea uraisi 2015 akiwa kama mpinzani mkuu lakini mwisho wa siku Leo hii yupo upande upiii.....
5.sasa 2020 kuna MTU na kundi lake nahisii nawaona kuja kugombea kupitia chama (XXX) akijinasibu kama mpinzani mkuu lakini je mwisho wa siku itakuwaje je ni yaleyale ?
Je
1.mrema na kundi lake walihama ccm na kuhamia nccr kisha mrema kugombea uraisi akiwa kama mpinzani mkuu lakini mwisho wa siku Leo hii yupo wapi
2.lipumba alihama toka ccm na kundi lake kugombea kupitia cuf akiwa kama mpinzani mkuu kuja upinzani akagombea uraisi akiwa kama mpinzani mkuu Leo hii yupo wapi
3.dk slaa alitoka ccm na kundi lake na kuhamia chadema kisha hapo badae akagombea uraisi kupitia upinzani mwisho wa siku Leo yupo wapi
4.lowassa alihama toka ccm kisha akahamia chadema na kugombea uraisi 2015 akiwa kama mpinzani mkuu lakini mwisho wa siku Leo hii yupo upande upiii.....
5.sasa 2020 kuna MTU na kundi lake nahisii nawaona kuja kugombea kupitia chama (XXX) akijinasibu kama mpinzani mkuu lakini je mwisho wa siku itakuwaje je ni yaleyale ?
Je