Munamuge
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 903
- 896
Kwa habari nilizozipata kutoka kwa chanzo kisicho na shaka ni kwamba, aliyekuwa M/kiti wa CCM mkoa wa Shinyanga aliejiengua na kuhamia Chadema Bwana Mgeja ndiye atapeperusha bendera ya Ukawa katika jimbo la Msalala.
Inasemekana ni shinikizo kutoka juu, kama kweli ni hivyo basi kuna dosari. Watu wametumia nguvu, pesa na muda wao kujenga na kujijenga na hatimae wakafanya uchaguzi na kumpata mgombea wao, leo waletewe mtu wasiemhitaji kisa tu kuna maelekezo na makubaliano maalum!!!
Hapa tumepotoka, natamani iishie kuwa tetesi.
Inasemekana ni shinikizo kutoka juu, kama kweli ni hivyo basi kuna dosari. Watu wametumia nguvu, pesa na muda wao kujenga na kujijenga na hatimae wakafanya uchaguzi na kumpata mgombea wao, leo waletewe mtu wasiemhitaji kisa tu kuna maelekezo na makubaliano maalum!!!
Hapa tumepotoka, natamani iishie kuwa tetesi.