Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Doctor Love Pimbi kila siku anapigwa vibuti vya mbavu, angekuwa amejaaliwa mkoyonga si mademu wangemkoma?
Watu wafupi shobo nyingi na kujifagilia kwa sana.
Watu wafupi shobo nyingi na kujifagilia kwa sana.
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!