Je ni kweli kuwa wanaume wafupi wanayajua mahaba....?

Doctor Love Pimbi kila siku anapigwa vibuti vya mbavu, angekuwa amejaaliwa mkoyonga si mademu wangemkoma?
Watu wafupi shobo nyingi na kujifagilia kwa sana.
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!
 
nina uncle wangu mfupi,yaani huyo watoto wote wa ndugu zake anatuona hatumuheshimu,anapenda amri,kimbelembele,anajifanya anajua.kitu kidogo tu anadai unanidharau.kuna siku nilimpigia simu kumuuliza anavaa viatu size gani maana kuna viatu niliviona nikavipenda sana nikasema lazima hivi nimnunulie uncle wangu,jamani sikujua eti kumbe kumuuliza tu hivyo ni kosa,hadi akatoa kauli za kunilaani,ukoo mzima ulijua,akaweka hadi vikao anasema eti ni dharau,akawa anasema'yule mtoto anadhani sina viatu natembea peku',upendo wangu kwake uliniponza nililia sana,hadi leo hanipendi hata nijipendekeze vipi kwake anasemaga mie nina madharau,akisikia nimeachieve kitu anasema eti dharau zangu ndi zitazidi.watu wafupi noumarr sana.kuwa na mume kama uncle wangu ni kuji-kill softly.kwanza nafikiri watu wafupi na pistol zao ni fupi pia.
 
Hapa have no any experience ngoja wajisemee wenyewe
Ila kwa upande wa matabia ndo iko kazi
 
Rose yawezekana kweli wakawa na gubu lakini km kitandani wako vizuri yaweza kufuta haya yote.kuhusu vitambi hata ukiwa mrefu na ukawa nacho lazima kipunguze saizi.
onyo........wafuga vitambi muache sababu mtabakia na penseli

I doubt if size does matter. what matters is how long mfagio uta-stand stil? Often mfagio mrefu ni mzembe (yaani ni kamba kama ya bata) one goal then goes off. But moderate size plays longer game, can take a woman where she wants to go. First Lady upo Mamaa?????????????
 
nina uncle wangu mfupi,yaani huyo watoto wote wa ndugu zake anatuona hatumuheshimu,anapenda amri,kimbelembele,anajifanya anajua.kitu kidogo tu anadai unanidharau.kuna siku nilimpigia simu kumuuliza anavaa viatu size gani maana kuna viatu niliviona nikavipenda sana nikasema lazima hivi nimnunulie uncle wangu,jamani sikujua eti kumbe kumuuliza tu hivyo ni kosa,hadi akatoa kauli za kunilaani,ukoo mzima ulijua,akaweka hadi vikao anasema eti ni dharau,akawa anasema'yule mtoto anadhani sina viatu natembea peku',upendo wangu kwake uliniponza nililia sana,hadi leo hanipendi hata nijipendekeze vipi kwake anasemaga mie nina madharau,akisikia nimeachieve kitu anasema eti dharau zangu ndi zitazidi.watu wafupi noumarr sana.kuwa na mume kama uncle wangu ni kuji-kill softly.kwanza nafikiri watu wafupi na pistol zao ni fupi pia.
Ahahahahahaaaaah pole sana dada Cheusi kwa mkasa huo.
 
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!

Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze mwenyewe! Ni vizuri ukafanya utafiti mdogo mwenyewe tena kwa kutumia participant observation method!
 
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!

Mimi naomba kuuliza, mtu mfupi anakuwa na futi/mita ngapi? Wengine sisi katika familia zetu ni wafupi lakini tukijilinganisha na majirani au marafiki ni warefu........naombeni ufafanuzi wa hili kwanza.
 
kwaiyo maty unataka kusema ...WATU WAFUP SIYO MARIOOOOOOOO SAAAAANA VS WAREFU?
teh teh jaman mi stak...

hawa sio marioo rose yaani huwa wanajituma kufanya mambo makubwa ili waonekane na kujulikana, na ole wako umwambie yeye mfupi atanunua huyo halafu tena ajiongezee na umariooo hawataki kudharauliwa na chochote watu wafupi hilo la ufupi huwa linawatosha
 
nina uncle wangu mfupi,yaani huyo watoto wote wa ndugu zake anatuona hatumuheshimu,anapenda amri,kimbelembele,anajifanya anajua.kitu kidogo tu anadai unanidharau.kuna siku nilimpigia simu kumuuliza anavaa viatu size gani maana kuna viatu niliviona nikavipenda sana nikasema lazima hivi nimnunulie uncle wangu,jamani sikujua eti kumbe kumuuliza tu hivyo ni kosa,hadi akatoa kauli za kunilaani,ukoo mzima ulijua,akaweka hadi vikao anasema eti ni dharau,akawa anasema'yule mtoto anadhani sina viatu natembea peku',upendo wangu kwake uliniponza nililia sana,hadi leo hanipendi hata nijipendekeze vipi kwake anasemaga mie nina madharau,akisikia nimeachieve kitu anasema eti dharau zangu ndi zitazidi.watu wafupi noumarr sana.kuwa na mume kama uncle wangu ni kuji-kill softly.kwanza nafikiri watu wafupi na pistol zao ni fupi pia.

hahahaaaaaaaaa cheusi u have made my day mwe! jamani watu wafupi wanakera akikuoa anataka na ukoo wako wote umuheshimu lol
 
Huyo huyo shori nae kapata njema ina hogo la jang'ombe anasema linamfikisha kunako yule jamaa akitembea hivi kitu kinalegea kwa sarawili balaaa kama mkono wa miss

hahahaaaaaaaaaaaaaaa jamani watu mna visa humu JF lol
 
ahahahahahaahahahahahah!

NDIIII HOOOUUCHUUU UUNEEEEEEEEEEEE!

mwenzetu leo umejichimbia wapi maana unavyotuma post inaonekana umeloekewa nguo na infi hata kazini hujaenda hata post ukituma zinakwama kwama ukifikiria utamkabilije rose zitakavyokauka
 
sjawai ona shotiii anajisema...wew tall ful stop!!!!
kanunue ring km vp..

heheheeeeee mashort huwa wanaukana kabisa ushort wao na ole wako umwambie yeye short kama ni mdada utaona unavyopewa za uso
 
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....

Naunga mkono hoja...
 
Hili swala linanitatiza sana hebu wadada naomba mniambie ni urefu upi ambao ndo mzuri kwenu.naongelea urefu wa uume ni kuanzia cm ngapi ndo mnasema huu ni urefu sahihi
 
nakubaliana na wewe kabisa,na mimi nina mfano hai wa mtu mfupi,ana kero hizo acha tu!,but anajua kucare sijawahin ona!,so vurugu zake zinamezwa na CARERING zake!


yaani huyo rafiki yangu akipelekwa shopping yeye na mtoto ni balaa, anahakikisha nyumbani kuna kila kitu msosi havi yaani mazagazaga yote + gari ya kutembelea ye mwenyewe yuko radhi atembee kwa daladala kiasi kwamba wakati mwingine anamtandika na kumtoa nje yaani anafukuza dada watu anaondoka anakaa kwao akikumbuka starehe za kwa mmewe akiombwa tu msamaha anarudi tena haagi mtu. yaani anahakikisha hata uende wapi huwezi pata maisha anayokupa yeye hasa ukimkuta anaejua kuzitafuta halafu najaribu kufikiria swali la fl1 inawezekana kweli wakawa wanajua malavedave maana hawataki kushindwa na kitu hawa watu wafupi so lolote lawezekana kwao wao huwa wanataka kasoro yao iwe ufupi 2
 
yaani huyo rafiki yangu akipelekwa shopping yeye na mtoto ni balaa, anahakikisha nyumbani kuna kila kitu msosi havi yaani mazagazaga yote + gari ya kutembelea ye mwenyewe yuko radhi atembee kwa daladala kiasi kwamba wakati mwingine anamtandika na kumtoa nje yaani anafukuza dada watu anaondoka anakaa kwao akikumbuka starehe za kwa mmewe akiombwa tu msamaha anarudi tena haagi mtu. yaani anahakikisha hata uende wapi huwezi pata maisha anayokupa yeye hasa ukimkuta anaejua kuzitafuta halafu najaribu kufikiria swali la fl1 inawezekana kweli wakawa wanajua malavedave maana hawataki kushindwa na kitu hawa watu wafupi so lolote lawezekana kwao wao huwa wanataka kasoro yao iwe ufupi 2
Kha..

Basi mie kweli sifai... hata kubembeleza sijui, ofa ndio kabisaaaaa, ukija uje na pesa yako kabisa hata bia sinunui


Yani mama totoo wangu ndo hivyo tena, sema tu yeye mfupi zaidi yangu, sasa sijui kwanini haondoki?
 
Kha..

Basi mie kweli sifai... hata kubembeleza sijui, ofa ndio kabisaaaaa, ukija uje na pesa yako kabisa hata bia sinunui


Yani mama totoo wangu ndo hivyo tena, sema tu yeye mfupi zaidi yangu, sasa sijui kwanini haondoki?

inawezekana wayajua mambo babu kama wamridhisha kunako tisa kwa tisa kwa nini ahangaike akijiangalia ana uwezo wa kujihudumia yeye na wanawe pamoja na wewe. Na kwa tabia hizo anajua kabisa hakuna wa kukupenda yaani wewe ni yeye peke yake anamiliki hata mimi siondoki
 
Back
Top Bottom