mzee wa fix
Member
- Jun 27, 2016
- 17
- 10
Mkuu je kuna dawa za kusababisha ndevu ziote kwa wingi?Ni kweli kabisa zipo dawa za kuzuia ndevu zisiote lakini zina madhara makubwa sana mwilini kwakuwa zinaingia kwenye mzunguko wa damu na kuua seli nyingine pia
Zipo lakini madhara ni yale yaleMkuu je kuna dawa za kusababisha ndevu ziote kwa wingi?
Dawa nyepesi ni kung'oa mojamoja tangu wakati zinaanza kuotaHabari wanaJF,
Nasikia watu wanaweza kuzuia ndevu zisiote. Je kuna ukweli wowote kuhusu hili? Kama upo wanatumia nini kuzuia?
Ntajie hzo dawaNi kweli kabisa zipo dawa za kuzuia ndevu zisiote lakini zina madhara makubwa sana mwilini kwakuwa zinaingia kwenye mzunguko wa damu na kuua seli nyingine pia
Ujichune ulete maumivuJichune Ngozi eneo lote la Kidevuni Kwasababu Scar Haioti Ndevu.
Ndevu clean.Ntajie hzo dawa
Zipo mkuu lakin zikifanya kazi kinyume, unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta sokwe.. KiparamakulegaMkuu je kuna dawa za kusababisha ndevu ziote kwa wingi?
Zipo mkuu lakin zikifanya kazi kinyume, unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta sokwe.. Kiparamakulega
Mkuu u made my day.
Ila nazipenda sana halafu hazioti kabisa vile nipo under 18