sawa sawa mkuuNitaridi
Ngoja nisome post za Lissu kwanza.
hahahaKwa hiyo alikuwa na undugu na jokate??
baadhi ya source tofauti tofauti mkuuHuu ukweli umeupata wapi?
maana hata familia yake haijawah kuzungumzia ili jambo
Hayo mengine sitaki kuelewa, ila hapa ndio najiulizaga sanaaa..Jiulize Mandela alikuwa Kiongozi bora Afrika kwa lipi?
Kwa kuipatia Uhuru South Africa au kisa kukaa jela kwa kile wanachodai miaka 27??