Aisee kumbe hapo nilidanganywaSio kweli mkuu. Ndio maana unaambiwa mtandaoni nenda na akili zako timamu, ukienda kindezi utatoka upo stressed kupita maelezo.
Kuna sababu nyingi za watu kuachana. Kwa mfano, wewe uligombana na demu wako ukampasua jicho mkaachana. Will you expect her to find you again? For what by the way? Ili umpasue na hilo lililobaki au?
Kwa wanandoa pekeeKama huna ndoa je
Wa hovyo kabisa kumpasua jicho mwenzio. Na hutafutwiSio kweli mkuu. Ndio maana unaambiwa mtandaoni nenda na akili zako timamu, ukienda kindezi utatoka upo stressed kupita maelezo.
Kuna sababu nyingi za watu kuachana. Kwa mfano, wewe uligombana na demu wako ukampasua jicho mkaachana. Will you expect her to find you again? For what by the way? Ili umpasue na hilo lililobaki au?