Kwa mwenye ufahamu wa second selection 2017/2018
Zinatoka lini naomba kufahamishwa muda gani
Na je kwa ile orodha yote walioorodheshwa kwamba "wanafunzi watakaochaguliwa awamu ya pili kwenda kidato cha tano 2017/2018" wote watachaguliwa?
Msaada jamani, napenda kujua Lin zinatoka au kwenye hayo majina kuna watakao achwa tena na kwa vgezo gani naomba kusaidiwa
##nawasilisha#
Sent using
Jamii Forums mobile app