simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Fedha za wafadhili zimepungua lazima dola itapanda thamani.
Ni kweli mkuu Leo nimenunua kwa 2300.00
Msamehe tu huyo bendera kufata upepo, anahitaji maombezi. Ukibonyeza profile yake na kucheki posts zake tangu mwanzo utabaini undumilakuwili wake. Njaa mbaya sana, hasa ikipanda kichwaniMbona umepaniki?
hahahaha mmesharukia kwenye dola hahaha hili la dola bora mliache maana haliwezi kudumu kabisa mbona ikishuka hampost? kwani ilikuwa Tsh ngapi? hahahaha
Actually ilifika 2500Kupanda na kushuka dola ni kawaida..asubui unakuta 2100,
Mchana unaweza kuta 2200..kesho tena tofauti..zito sasa ameamua kushinda mjini kuokoteza habari..ishu ya dola si habari..enzi za jk ilifika hadi 2400
......Kupanda na kushuka dola ni kawaida..asubui unakuta 2100,
Mchana unaweza kuta 2200..kesho tena tofauti..zito sasa ameamua kushinda mjini kuokoteza habari..ishu ya dola si habari..enzi za jk ilifika hadi 2400
Ikipanda kichwani ndio inakua hatari zaidiMsamehe tu huyo bendera kufata upepo, anahitaji maombezi. Ukibonyeza profile yake na kucheki posts zake tangu mwanzo utabaini undumilakuwili wake. Njaa mbaya sana, hasa ikipanda kichwani