McCain
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 1,169
- 517
Moja ya matukio yaliyoshika headline hapa bongo ni pamoja na bongo movie kudorora baada ya marehemu Kanumba kuaga dunia twende pamoja.
1. Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k
2. Wasanii kuingilia mambo ya siasa
Kama uko up-to-date with information 2015 kundi lote la wasanii liliingia kwenye siasa badala ya kuimarisha kazi zao wao walioko zaidi na kuiimarisha ccm na hivyo matokeo yake kushindwa kumudu shughuli zao
3. Kuamini nguvu za giza zaidi kuliko ubunifu waliowengi wanategemea waganga ndio maana mmoja akihit mwenzake anakwenda kwa mganga kumloga ili nyota ya aliyehiti ihamie kwake hivyo ikishindikana ataona kama hauzi tofauti na zamani
1. Actors/actresses wamejikita zaidi kwenye ngono wakati matatizo yapo mengi nje na ndani ya nchi hadi wateja wa movie zahesabika e.g. mafuriko, vyeti feki utekaji, rushwa n.k
2. Wasanii kuingilia mambo ya siasa
Kama uko up-to-date with information 2015 kundi lote la wasanii liliingia kwenye siasa badala ya kuimarisha kazi zao wao walioko zaidi na kuiimarisha ccm na hivyo matokeo yake kushindwa kumudu shughuli zao
3. Kuamini nguvu za giza zaidi kuliko ubunifu waliowengi wanategemea waganga ndio maana mmoja akihit mwenzake anakwenda kwa mganga kumloga ili nyota ya aliyehiti ihamie kwake hivyo ikishindikana ataona kama hauzi tofauti na zamani