Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,998
Leo nimepita mtaa wa Likoma maeneo ya Kariakoo kuna biashara kubwa sana ya movies za nje.

Zinagombewa na zinauzika sana,nakumbuka kuna wakati Tanzania tulikua juu sana kwenye mambo ya kuigiza,yalikuja malalamiko mengi kuwa wasanii wanaibiwa kazi zao huku wafanyabishara wakidaiwa kufaidika zaidi.

Iliibuka kamata kamata kubwa sana ya wauzaji wa kazi za wasanii wa ndani.

Baada ya ile kamata kamata hakukuwa na Mrejesho kuwa sasa wasanii wanapata pesa kwa haki bali ni kudorora kwa soko.

Je, nani aliua lile soko la filamu za ndani? Kwa nini soko la filamu za ndani life la nje libaki?
 
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish.

Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje?

Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia.

Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.

My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
 
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish. Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje? Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia. Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.
My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
Dada yao wa kazi ndie stelingi wakati wewe na maza / faza hauz hamko kunyumba. Guess anaangalia nini? Bongo Muvi au seriez zilizotafsiriwa Kiswahili, ambazo nazo hawatafsirigi hayo unayoyapembejea. Na wakati akiangalia, hao wanao nao waziangalia. Upo?
 
Bongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.

Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.

Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.

Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..

Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..

Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish. Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje? Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia. Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.
My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
kidogo Kanumba alikua na movies zenye atleast vitu reasonable....


hawa wa siku hizi utopolo kabisa
 
Bongo movi zimebaki wa mabeki tatu..na felia yani wenye elimu ndogo za la saba na 4m4 felia..msomi na mwenye akili timamu jawezi angalia huo upuuzi..kwanza hawana jipya wanabadili jina la muvi na waigizaji ila maudhui hua ni yale yale..mapenzi na uchawi.

Huwa hawaangalii sifa za mtu bali huangalia matako na uhendisamu..ndio mana wengi wa bongo muvie ni malaya wanaotafuta kupanua wigo na mario wanotafuta kulelewa(mtanisamehe ila ndio ukweli)..hivyo hutumia uingizaji kama platform ya kujulikana,wengi wao hawana kipaji wala elimu.

Pia hakuna uwekezaji..hawako tayari kuweka pesa..ili kutengeneza kitu chenye ubora..kuanzia vifaa na editing pia na logistics zingine.

Ubunifu ni zero..wengi wanakuja na mawazo yao..hawazomi vitabu kujiongezea maarifa kopy na paste ni nyingi..

Kimsingi bongo movie bongolala taaluma isiyotumia akili..

Ushauri warudi shule wakasomee mambo ya filming..wawekeze pia waaache kuokoteza malaya na marioo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umeongea ukweli wote kabsa.
 
Leo nimepita mtaa wa Likoma maeneo ya Kariakoo kuna biashara kubwa sana ya movies za nje.

Zinagombewa na zinauzika sana,nakumbuka kuna wakati Tanzania tulikua juu sana kwenye mambo ya kuigiza,yalikuja malalamiko mengi kuwa wasanii wanaibiwa kazi zao huku wafanyabishara wakidaiwa kufaidika zaidi.

Iliibuka kamata kamata kubwa sana ya wauzaji wa kazi za wasanii wa ndani.

Baada ya ile kamata kamata hakukuwa na Mrejesho kuwa sasa wasanii wanapata pesa kwa haki bali ni kudorora kwa soko.

Je nani aliua lile soko la filamu za ndani? Kwa nini soko la filamu za ndani life la nje libaki?
Alieua soko la filam ni teknolojia period!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Je nani aliua lile soko la filamu za ndani?
Mfumo wa dunia umebadilika sana, ili kuvutia hadhira ni lazima ugharamike tena gharama kubwa, (fedha na muda wa kutosha) chukua mfano wa movie kama merantau ya action imegharimu milioni nyingi tuu na muda wa kutosha ili kitakachotoka kiwe bora sasa hapa bongo wanataka ndani ya miezi miwili kitu kipo sokoni, safari ni ndefu sana na wanakoelekea watu hawataangalia tena ujinga wao
 
Bongo movie tukiacha wachekeshaji, walobaki wengine ni utoto na ujingamtupu umetawala katika sanaa yao, hawajui kwanini wanaitwa wasanii, wanakurupuka kufanya sanaa zao za hovyo, yani ukitazama bongo movie unakijuta unatazama takataka tupu.
Kanumba alivyobadilika na bongo movie ilianza kubadilika, ila alivyokufa aliondoka na bongo movie yake, wasanii walobaki walishindwa kujifunza kuwa walitakiwa kufanya nini, kikubwa zaidi bongo movie hawashauriki, hawaelewi wao wanaifanya sanaa kuwa ni vivlu vyao na havibadiliki rangi, acha filamu za wazungu ziuzwe.
 
Bongo movie wamekosa platform ya kuuzia kazi zao. CD haziuzi siku hizi maana hamna anayetumi na mtu anaikopi na kuiba kazi. Tz hatuna kumbi za Cinema za kutosha kama nchi zingine ambazo ndiyo tegemeo kubwa la biashara movie.
Pia streaming services kama Netflix haiwezekani kwa mabando haya.

Nilikuwa nafikiria labda wangeanzisha tv channel ambayo mtu ananunua movie humo(pay per view). Inakuwa kama streaming service ila kupitia TV channel.
 
Bongo movie wamekosa platform ya kuuzia kazi zao. CD haziuzi siku hizi maana hamna anayetumi na mtu anaikopi na kuiba kazi. Tz hatuna kumbi za Cinema za kutosha kama nchi zingine ambazo ndiyo tegemeo kubwa la biashara movie.
Pia streaming services kama Netflix haiwezekani kwa mabando haya.

Nilikuwa nafikiria labda wangeanzisha tv channel ambayo mtu ananunua movie humo(pay per view). Inakuwa kama streaming service ila kupitia TV channel.

Hahahaha, unachekesha kama bongo movie. Netflix wanunue uchafu wa bongo movie?????
 
Bongo movie tukiacha wachekeshaji, walobaki wengine ni utoto na ujingamtupu umetawala katika sanaa yao, hawajui kwanini wanaitwa wasanii, wanakurupuka kufanya sanaa zao za hovyo, yani ukitazama bongo movie unakijuta unatazama takataka tupu.
Kanumba alivyobadilika na bongo movie ilianza kubadilika, ila alivyokufa aliondoka na bongo movie yake, wasanii walobaki walishindwa kujifunza kuwa walitakiwa kufanya nini, kikubwa zaidi bongo movie hawashauriki, hawaelewi wao wanaifanya sanaa kuwa ni vivlu vyao na havibadiliki rangi, acha filamu za wazungu ziuzwe.
Tatizo hii tasnia nzima imeachwa kwa, niseme vilaza. Wako wapi wanaosomea sanaa za maigizo vyuo vikuu. Pamoja na talent lakini kusomea hutoa waigizaji bora sana. Mtu kama Samuel Jackson, bonge la actor na ana degree yake ya sanaa. Bongo ukiwa mrembo basi unafaa kuigiza. Kumbe kujua kuigiza ni nuhimu zaidi, kuna movie walicheza watu wa chuo cha sanaa cha bagamoyo, movie nzuri sana kuliko bongo movie ambazo zinaujinga na kung'aa utafikiri movie yote imepigwa scrubb.
 
Back
Top Bottom