jannelle
JF-Expert Member
- Feb 8, 2020
- 536
- 1,003
Eh, basi leo nimekumbuka changamoto za nyumba za kupanga kwa kiasi mpaka unatamani kulia.
Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda kisibadilishwe uelekeo tofauti na alivyoniambia, kwingine niliambiwa kila mgeni akija lazima nimtambulishe kwake, bt ni kwa neema tu tumebarikiwa, vipi kwako ilikuwaje
Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda kisibadilishwe uelekeo tofauti na alivyoniambia, kwingine niliambiwa kila mgeni akija lazima nimtambulishe kwake, bt ni kwa neema tu tumebarikiwa, vipi kwako ilikuwaje