MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,302
Wadau nawasalimu.Nimepitia KATIBA ya NCHI sijaona POPOTE ambapo Kuna Kifungu ktk KATIBA kinachotamka kuwa kutakuwa na WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA ktk Majimbo yao.
Lakini kupitia UCHAGUZI wa 2020 walipatikana WABUNGE WALIOPITA bila KUPINGWA Je kwa MUJIBU wa KATIBA yetu JE NI HALALI kuwa na WABUNGE HAO.
na je ni KUFUNGU gani cha KATIBA kinachowataja? Na kama HAKIPO je WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA ni HALALI kuendelea kuwa WABUNGE?
Lakini kupitia UCHAGUZI wa 2020 walipatikana WABUNGE WALIOPITA bila KUPINGWA Je kwa MUJIBU wa KATIBA yetu JE NI HALALI kuwa na WABUNGE HAO.
na je ni KUFUNGU gani cha KATIBA kinachowataja? Na kama HAKIPO je WABUNGE WALIOPITA BILA KUPINGWA ni HALALI kuendelea kuwa WABUNGE?
Naomba KUELIMISHWA