Je, ni kabila gani watu wake uona aibu kujitambulisha?

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,703
1,724
Wakuu, hapa nchini pana makabila mengi lakini pana makabila fulani watu wake wanapokuwa nje ya sehemu hizo huona aibu kujitambulisha kwa makabila yao ya asili. Mfano Msafa, huyu ni kutoka Mbeya lakini anapokuwa nje ya mkoa huo hujitambulisha kama Mnyakyusa wakati Mnyakyusa ni kutoka wilaya ya Tukuyu. Ila Msukuma na Mmaasai hawa wakiwa pahala popote hawaoni aibu kujitanua kwa makabila yao ya asili.
 
mkuu hii mada yako imekaa kichonganishi, sisi wote ni watanzania na mtu hutakiwi kum judge kwa kabila lake bali kwa tabia yake binafsi
 
Kwann Uogope Kusema Kbla Lenu? Mbna Magufuri Pamoja Na Urahisi Wake Hakuogopa Kutaja Kwao,elimiken Kabila Ni Moja Ya Element Inayoktamblsha Na Kubuild relationshp As Well As Enable People Communicate Well Through Trible
 

Mkuu, katika watu ninao waogopa sana kubishana nao ni wanasiasa hasa wa hapa nchini. Mwl Nyerere alikuwa anapiga vita ubaguzi. Mzee wetu huyo alikuwa akituasa kutokutumia ukabila, udini, rangi ya ngozi nk. katika kutoa haki, hakuwa akipinga makabila wala dini ya mtu na alikuwa haoni aibu kujitambulisha kuwa yeye ni Mzanaki na Mkatoliki hata katupa neno la kabila lake kulitumia katika Kiswahili la "kung'atuka"! Tujaribu kumuelewa Mwl kiundani na si kijujuu tu.
 
Kwann Uogope Kusema Kbla Lenu? Mbna Magufuri Pamoja Na Urahisi Wake Hakuogopa Kutaja Kwao,elimiken Kabila Ni Moja Ya Element Inayoktamblsha Na Kubuild relationshp As Well As Enable People Communicate Well Through Trible
Mkuu, hao ndo walewale wameguswa. Kwani aliyetengeneza makabila dunia nzima alikuwa mjinga? Hawa ndo wanaoona Kiingereza si kabila.
 
Wakuu, hapa nchini pana makabila mengi lakini pana makabila fulani watu wake wanapokuwa nje ya sehemu hizo huona aibu kujitambulisha kwa makabila yao ya asili. Mfano Msafa, huyu ni kutoka Mbeya lakini anapokuwa nje ya mkoa huo hujitambulisha kama Mnyakyusa wakati Mnyakyusa ni kutoka wilaya ya Tukuyu. Ila Msukuma na Mmaasai hawa wakiwa pahala popote hawaoni aibu kujitanua kwa makabila yao ya asili.
Mbeya hakuna kabila Msafa wala wilaya ya Tukuyu.
 
Mkuu, katika watu ninao waogopa sana kubishana nao ni wanasiasa hasa wa hapa nchini. Mwl Nyerere alikuwa anapiga vita ubaguzi. Mzee wetu huyo alikuwa akituasa kutokutumia ukabila, udini, rangi ya ngozi nk. katika kutoa haki, hakuwa akipinga makabila wala dini ya mtu na alikuwa haoni aibu kujitambulisha kuwa yeye ni Mzanaki na Mkatoliki hata katupa neno la kabila lake kulitumia katika Kiswahili la "kung'atuka"! Tujaribu kumuelewa Mwl kiundani na si kijujuu tu.
Uliwahi kusikia Mwalimu akijiuliza kwa nini kuna makabila yanaogopa kujitambulisha? Swali lako ni la kipuuzi sana na usitake kumchanganya Mwalimu kwenye huu upuuzi wako.
 
mkuu hii mada yako imekaa kichonganishi, sisi wote ni watanzania na mtu hutakiwi kum judge kwa kabila lake bali kwa tabia yake binafsi
Mkuu, kubali usikubali kila mtu hapa duniani ana kabila lake la asili. Kila lugha chimbuko lake ni kabila au hulifahamu hilo?
 
Kwann Uogope Kusema Kbla Lenu? Mbna Magufuri Pamoja Na Urahisi Wake Hakuogopa Kutaja Kwao,elimiken Kabila Ni Moja Ya Element Inayoktamblsha Na Kubuild relationshp As Well As Enable People Communicate Well Through Trible
HATA LUGHA YA MALIKIA HAUIFAHAMU, TOA UKABILA WAKO HAPA
 
Uliwahi kusikia Mwalimu akijiuliza kwa nini kuna makabila yanaogopa kujitambulisha? Swali lako ni la kipuuzi sana na usitake kumchanganya Mwalimu kwenye huu upuuzi wako.
Wewe ndo umemuhusisha Mwl Nyerere kwenye mada hii.
 
Back
Top Bottom