Je, ni dhambi kwa mwanamke kupenda pesa?

Je, ni dhambi kwa mwanamke kupenda pesa?

Ukwelinasema

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
733
Reaction score
926
Nanukuu mashairi ya wimbo "Nje ya box" wa kundi la Weusi

Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa

Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana

Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda change

Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi

Swali

Je, ni dhambi kwa mwanamke kupenda pesa? Je, ni vibaya kwa mwanamke kummotivate mwanaume kuwa tajiri??
Kwanini si rahisi kwa mwanaume kukubali kuelekezwa na mwanamke namna ya kuenendea mafanikio??

Wengi tunaitwa wajuaji kama si malaya hata kama vyanzo vya pesa yetu vinaoneka...why??
 
Wanaume wameumba kutawala yaani hata kama hana pesa hata kama hajasoma anataka wewe mwanamke uwe chini
 
Muulize alieandika mistari hit sahiv anablok watu insta huko!! Wanawake wa kuwasifia eti wapende pesa!? Sahii anatafuta pa kuiweka sura ake na mistar kaiandka mwenyew akiwa kapakatwa na mama zuri
 
Wanaume wameumba kutawala yaani hata kama hana pesa hata kama hajasoma anataka wewe mwanamke uwe chini
Kutawala atawale lakini kuchelewesha maendeleo kisa tu mwanamke ndoanawazo unadhani ni sawa
 
Muulize alieandika mistari hit sahiv anablok watu insta huko!! Wanawake wa kuwasifia eti wapende pesa!? Sahii anatafuta pa kuiweka sura ake na mistar kaiandka mwenyew akiwa kapakatwa na mama zuri
Me nakuuliza wewe hayo ya muimbaji mwachie mwenyewe
 
Kutawala atawale lakini kuchelewesha maendeleo kisa tu mwanamke ndoanawazo unadhani ni sawa
Hapo kwenye kuchelewesha sio sawa yaani mwanaume akisimama kwenye nafasi yake na mwanamke kwenye nafasi yake basi mapenzi yanakwenda kwa amani kabisa jambo la msingi msijaribu kuficha maendeleo yenu yaani wewe unachangia nini hapa ndani na Mimi nachangia nini hapa ndani lakini mkianza kuficha inamaana hakuna anayetambua uanamke wake na uanaume wake iwe kwa ndoa nk
 
Hapo kwenye kuchelewesha sio sawa yaani mwanaume akisimama kwenye nafasi yake na mwanamke kwenye nafasi yake basi mapenzi yanakwenda kwa amani kabisa jambo la msingi msijaribu kuficha maendeleo yenu yaani wewe unachangia nini hapa ndani na Mimi nachangia nini hapa ndani lakini mkianza kuficha inamaana hakuna anayetambua uanamke wake na uanaume wake iwe kwa ndoa nk
Ni kweli
 
Kwanini nisiipende pesa na ndoinayotatua changamoto zote duniani hapa
To have money doesn't mean have anything.. Jarib kutafakar mahali ambapo pesa hain msaada! Pesa inakusaidia nn ikiw unaona furaha yako inateketea kwa kiba100!? Mathalani, ukiamua kuamini kwamba upendo ni zaidi y pesa kuna mambo mengi yatkuwa mbele mf. Utuliv(siy kudanga), uvumiliv( kula utakula Tu hat kw sik mar 1) Motivate yourself
 
Back
Top Bottom