Hata hapa bongo zipo benki nyingi ambazo ukiweka pesa hata kwenye account ya Savings kawaida kila muda fulani unapata interest.
Tatizo lenu mmeshazoea benki zenu hizo 3.
Sasa si ndo ufunguke uzitaje..na ndio lengo la thread..
Halafu hawa BOT si ndio kaz yao kudhibiti hiz gharama.
Sio kazi ya BOT kudhibiti gharama zinazotozwa na mabenki.
BOT wanachofanya ni kuweka uwanja huria mabenki yaje yashindane.
Kazi yao kubwa ni kuyaangalia mabenki ku minimize RISK ili kile kidogo cha wananchi kisipotee.
Kama wewe ume sign mkataba wa kufungua account ukakubaliana kwamba tariffs zinaweza kubadilika wakati wowote bila notice hapo msaada gani tena tukupe mamdogo?
BOT nao pamoja na haya mabenki yote ni wezi.., inabidi kuwe na consumer protection act ya kuweza kuwabana hawa watu, sababu wanachokifanya sio haki (just imagine service charge zote wanazochukua kwenye kila account ya mtu) sijui nikiweka pesa yangu benki wanaajiri mlinzi ili ailinde ?.., wakati ukweli ni kwamba nikiweka pesa yangu wanamkopesha mtu mwingine na wanakula faida.., bila aibu bado wananikata tena pesa kama shukrani ya kuwawezesha wao kupata faida
Sawa. jibu swali basi la kuhus hiyo benki isiyo na makato makubwa.. mbona unakwepa swali la msingi
Jaribu EXIM
mida hiyo nadhani wanakuwa wanafanya end of day kwenye system, itakuwa inatoka kwa benki nyingi hii kitu.
Mkuu hii siyo kweli hata kidogo. Nafikiri unaongelea Benki nyingine na si Exim Bank. Katika benki ambazo gharama ya kuwa na akaunti huko ni karibu na bure Exim ni mojawapo. Mimi ni mteja wao pia. Hata kwenye website yao inasomeka kama ifuatavyo:
Faida account is a saving account that counts, it comes with:
International debt Master card
Free ATM withdrawal charges
Free accident death insurance coverage of TSH 1 million
Free online bank statement
Free SMS Banking
My advice is try hizi benki mpya mpya na ndogo kama Equity,FBME, AZANIA, BOA, FNB,ABC,DTB,I&M,NIC wao focus yao ni kuongeza wateja.
Hicho chambo hata samaki huwa anaonyeshwa hiyo kitu huku nyuma kuna ndoano. Hii uliyoona kama ni kitu kizuri sana yaani International debt Master card ni kamba shingoni usije ukaitumia katika benki nyingine kwani watakata pesa yako mpaka ulie. Wanakata 6,000/= ukitoa pesa mara moja. Juzi kanda ya ziwa nilipoteza 18,000/ kwa kudraw 600,000/= we acha tu
Mkuu hii siyo kweli hata kidogo. Nafikiri unaongelea Benki nyingine na si Exim Bank. Katika benki ambazo gharama ya kuwa na akaunti huko ni karibu na bure Exim ni mojawapo. Mimi ni mteja wao pia. Hata kwenye website yao inasomeka kama ifuatavyo:
Faida account is a saving account that counts, it comes with:
International debt Master card
Free ATM withdrawal charges
Free accident death insurance coverage of TSH 1 million
Free online bank statement
Free SMS Banking
benki nzuri ni pamoja na kuwa na matawi mengi
Mkuu Kimbori hawa jamaa wana matawi Kariakoo, Quality centre pale kwa Manji na Posta Opposite na Serena Hotel. Pia naskia wanafungua Mwanza, Arusha na Mbeya.Ahsante ze enclopedia! Ila naomba ufafanuzi kidogo kuhusu:
i) mahali yalipo matawi; ikiwemo kama wana matawi mikoani;
ii) je nitapata wapi wadhamini kwa kuwa benki nyingi zinahitaji wadhamini na mimi sifahamiani na mteja yeyote, kumbuka watu wengi hawapo tayari kuadhamini watu wasiowajua kwa kuwa wezi ni weng.
Naomba maoni juu ya benki zingine
Equity BankNaomba kujua kutoka kwa wenye experience Bank ipi hapa Tanzania wana makato kidogo kulinganisha na wengine, sina experience na mabank mengine apart from ninayotumia (CRDB) ambayo nayo nilifungua account lakini sikua nimefanya research kujua ipi afadhali.