Je, ni benki gani inatoza gharama nafuu?

Zion Daughter,

Sijakwepa swali mamdogo mimi nina avoid kuonekana nafagilia benki fulani fulani ndio maana nataka na wewe ukafanye homework yako. Kabla hujafungua account kaa chini na umuulize afisa wa benki transaction charges kwenye kaunta sh ngapi? kwenye Atm sh ngapi? je nikitoa pesa kuna limits? Je akaunti hiyo inaingiza riba kwa akiba yako? Je makato ya mwezi yapo? je kuna gharama ya kutumia kadi ya ATM ?

My advice is try hizi benki mpya mpya na ndogo kama Equity,FBME, AZANIA, BOA, FNB,ABC,DTB,I&M,NIC wao focus yao ni kuongeza wateja.

BOA huduma mbovu hasa Airport branch, ukipiga simu hawapokei na wanazima kabisa, service charge kwa mwezi 9,000, huduma yao ya B-MOBILE kuuliza salio kwa simu wanakata 200 kila ukifanya hivyo
 
Back
Top Bottom