moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 169
Nenda pale "BB"(BARCLAYS BANK), Management sasa imekuwa serious na wateja, hakuna hayo "Mazingaombwe''
Backlays nilikuwa account hapo elfu 5000 kwa mwezi
Nenda pale "BB"(BARCLAYS BANK), Management sasa imekuwa serious na wateja, hakuna hayo "Mazingaombwe''
Zion Daughter,
Sijakwepa swali mamdogo mimi nina avoid kuonekana nafagilia benki fulani fulani ndio maana nataka na wewe ukafanye homework yako. Kabla hujafungua account kaa chini na umuulize afisa wa benki transaction charges kwenye kaunta sh ngapi? kwenye Atm sh ngapi? je nikitoa pesa kuna limits? Je akaunti hiyo inaingiza riba kwa akiba yako? Je makato ya mwezi yapo? je kuna gharama ya kutumia kadi ya ATM ?
My advice is try hizi benki mpya mpya na ndogo kama Equity,FBME, AZANIA, BOA, FNB,ABC,DTB,I&M,NIC wao focus yao ni kuongeza wateja.