Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Naomba tujadili Kama kuna namna yoyote ambayo CCM itapata kwa kuendelea kumshikilia mbunge wa CHADEMA kwenye gereza la Kisongo
Naomba tujadili Kama kuna namna yoyote ambayo CCM itapata kwa kuendelea kumshikilia mbunge wa CHADEMA kwenye gereza la Kisongo
Changia mara moja inatosha!uombe kubaki jela kisha usumbue wakati wa kutoka haina mantiki ni sawa na hakunaga
Naomba tujadili Kama kuna namna yoyote ambayo CCM itapata kwa kuendelea kumshikilia mbunge wa CHADEMA kwenye gereza la Kisongo
Lema alitaka kutikisa kiberiti. sasa amegundua kuwa kimejaa.
Hivi Lema toka awe mbunge wa Arusha, amefanya kitu gani cha maendeleo kwa waliomchagua? Je ameweza kutengeneza japo mita kumi za bara bara ya lami katika jimbo lake lisilokuwa na hata barabara moja ya lami ya manispaa?
Lema alitaka kutikisa kiberiti. sasa amegundua kuwa kimejaa.
Hivi Lema toka awe mbunge wa Arusha, amefanya kitu gani cha maendeleo kwa waliomchagua? Je ameweza kutengeneza japo mita kumi za bara bara ya lami katika jimbo lake lisilokuwa na hata barabara moja ya lami ya manispaa?