Swali kwa wana jukwaa la siasa na wachambuzi wa Jamiiforums
Kuna vyama au baadhi ya watu waliokuwa wametumia pesa na influence kununua coverage na influence kwenye local na international media
Je new media au social media au mtandao ya kijamii ilitumika kwa kiasi gani kuutangaza na kuuza wagombea? Je platform jamiiforums iliweza kushindana na whatsapp?
Je vyama kama ACT / Chadema/ CCM wali we za kuinfluence matokeo kwa kutumia new media?
Situation Zanzibar ikoje?
Naona CUF wamekamata FACEBOOK na tandao wa Wazalendo but kimya cha CCM speaks volumes...
What about wagombea ambao waliamua ku go rogue na kutotumia new media propaganda machinery za vyama vyao?
Pasco et al naomba inputs zenu
Kuna vyama au baadhi ya watu waliokuwa wametumia pesa na influence kununua coverage na influence kwenye local na international media
Je new media au social media au mtandao ya kijamii ilitumika kwa kiasi gani kuutangaza na kuuza wagombea? Je platform jamiiforums iliweza kushindana na whatsapp?
Je vyama kama ACT / Chadema/ CCM wali we za kuinfluence matokeo kwa kutumia new media?
Situation Zanzibar ikoje?
Naona CUF wamekamata FACEBOOK na tandao wa Wazalendo but kimya cha CCM speaks volumes...
What about wagombea ambao waliamua ku go rogue na kutotumia new media propaganda machinery za vyama vyao?
Pasco et al naomba inputs zenu