Pre GE2025 Askofu Mwamakula: Kama kwenye chaguzi za ndani ya vyama Rushwa ilitawala itakuwaje kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,982
171,962
Kichwa Cha habari ndio swali alilouliza askofu Mwamakula ukurasani X

Kwenu CHADEMA ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
---
Kupitia ukurasa wake Rasmi wa Mtandao wa X (Zamani Twitter) Askofu Mwamakula anaadika:

Kama katika chaguzi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa, uwezo wa kifedha miongoni mwa wagombea ndio uliotumika au pia ndio unaotumika kuamua washindi katika ngazi mbalimbali; tunaweza kutegemea muuzija wowote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025?
1725381182298.png
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Askofu Mwamakula: Waliohujumu Uchaguzi Mkuu 2020 na kuiba kura hawatofautiani na wanaohujumu chaguzi za ndani za CHADEMA
 
Kichwa Cha habari ndio swali alilouliza askofu Mwamakula ukurasani X

Kwenu CHADEMA ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
---
Kupitia ukurasa wake Rasmi wa Mtandao wa X (Zamani Twitter) Askofu Mwamakula anaadika:

Kama katika chaguzi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa, uwezo wa kifedha miongoni mwa wagombea ndio uliotumika au pia ndio unaotumika kuamua washindi katika ngazi mbalimbali; tunaweza kutegemea muuzija wowote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Askofu Mwamakula: Waliohujumu Uchaguzi Mkuu 2020 na kuiba kura hawatofautiani na wanaohujumu chaguzi za ndani za CHADEMA
Kwanini Chadema Jo,au ndio aina mpya ya uchawa?kwani wao ndio pekee wenye kufanya chaguzi ndani ya chama chao?
 
Back
Top Bottom