Je ndoa ni paradiso ndogo ama jehanamu?

Je ndoa ni paradiso ndogo ama jehanamu?

The iron batterfly

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
1,952
Reaction score
2,527
Habarini wana jamii forum.

Hivi karibuni nimekuwa Kila nikiingia jukwaa la MMU nakutana na uzi za malalamiko ya ndoa,mada zingine za ukakasi,majibu ya ukakasi ilmrad tafran.

Swali ni je ni kweli ndoa ni ngumu na zimejaa changamoto kiasi hiko?Kama ni kweli kwanini watu wanazing'ang'ania?

kwanini mwanamke usipoolewa ama ukiwa single mom unatukanwa Sana na kudhalilishwa(Kuna nyuzi nyingi kuthibitisha hilo hapa jf) ikiwa ndoa ni changamoto kama nyuzi ziletwazo hapa jukwaan zisemazo.

Jukumu la kuitunza ndoa na kuifanya paradiso ndogo ni la nani Kati ya mke na mume?

Hahahaha msichukulie serious sana ni maswali ya kuhitaj kupata ufahamu tu.
 
Ukweli mchungu ndoa zinazoongoza kwa migogoro ni zile wanawake wanaofanya kazi maofisini, sababu kubwa nionavyo Mimi ni wanaume kutokujiamini kwa kumuhisi mke vibaya!
Ila sababu nyingine kuna baadhi ya wanawake wanaofanya kazi kuzidisha dharau na jeuri ya kazi kwa mume! Hasa baada ya kupata watoto wawili watatu na ndoa hizo zile tu za mke mmoja mpaka kifo! Nyingi huko ndani ni hatari fire!
 
ndoa ni paradiso ndogo mkuu na mwenye uamuzi wa kuifanya iwe paradiso ndogo ni wewe uliyeoa maana mwanaume anaoa misingi mtakayo wekeana wakati mnaoana isipobadirika na kuenenda kama mlivyojipangia lazima utaiona paradiso ndogo lakini ukishaanza kuchepuka tu umekwisha inageuka kuwa jehanamu hapahapa duniani utajuta ulioa kwa nini na ujue wanaume ndiyo tunawafunsdisha wanawake kuchepuka na ujue wanawake ndiyo wanajua kupenda kuliko sisi akipenda amependa lakini ukimuuzi akaanza kubadirika hutaweza kumrusha tenaaaa ndoa paradiso ndogo mkuu
 
Ukweli mchungu ndoa zinazoongoza kwa migogoro ni zile wanawake wanaofanya kazi maofisini, sababu kubwa nionavyo Mimi ni wanaume kutokujiamini kwa kumuhisi mke vibaya!
Ila sababu nyingine kuna baadhi ya wanawake wanaofanya kazi kuzidisha dharau na jeuri ya kazi kwa mume! Hasa baada ya kupata watoto wawili watatu na ndoa hizo zile tu za mke mmoja mpaka kifo! Nyingi huko ndani ni hatari fire!
Sasa kama ishu ni hivyo,si wawafanya wake zao mama wa nyumbani then mume afight alishe familia yake.Wajua mwanamke akikusaidia kulisha family ama kusomesha watoto zenu lazima akudharau,ni asili.

Ama mtu aoe mwanamke ambaye hana elimu kihivyo ama kazi Ili aweze kujiamini vizuri.
 
ndoa ni paradiso ndogo mkuu na mwenye uamuzi wa kuifanya iwe paradiso ndogo ni wewe uliyeoa maana mwanaume anaoa misingi mtakayo wekeana wakati mnaoana isipobadirika na kuenenda kama mlivyojipangia lazima utaiona paradiso ndogo lakini ukishaanza kuchepuka tu umekwisha inageuka kuwa jehanamu hapahapa duniani utajuta ulioa kwa nini na ujue wanaume ndiyo tunawafunsdisha wanawake kuchepuka na ujue wanawake ndiyo wanajua kupenda kuliko sisi akipenda amependa lakini ukimuuzi akaanza kubadirika hutaweza kumrusha tenaaaa ndoa paradiso ndogo mkuu
Ok kama ni paradiso ndogo sasa vilio hivi vya ndoa Kila leo vinasababishwa na nini?
 
Sasa kama ishu ni hivyo,si wawafanya wake zao mama wa nyumbani then mume afight alishe familia yake.Wajua mwanamke akikusaidia kulisha family ama kusomesha watoto zenu lazima akudharau,ni asili.

Ama mtu aoe mwanamke ambaye hana elimu kihivyo ama kazi Ili aweze kujiamini vizuri.
Unafikiri ni rahisi hivyo? Je umemfikiria kwanza aliyempeleka shule,ndugu zake na wazazi kama ni tegemezi kwake, wote utaweza kuwahudumia, mke na mume ni swala pana sana! alafu jibu atakupa moja tu kipindi unafunga naye ndoa ulimkuta ana kazi, je hukuwaona ambao hawana kazi?
Swala hapa mwanzo huwa wapole sana ila hubadilika siku hadi siku na ndiyo mana nikakwambia na sisi wanaume tunachangi wake kubadilika Hasa ukiwa mtu wa wivu sna wakati hukumkuta bikra, kama hukujali hilo hupaswi kumuonea wivu kupitiliza mpaka ukamkera mkeo!
 
Ok kama ni paradiso ndogo sasa vilio hivi vya ndoa Kila leo vinasababishwa na nini?
ni makosa tunayoyafanya sisi wanaume wewe unafikiri wanamioyo ya plastic hao ? unacheat akuangalie tu hapana usipocheat nao wanatulia na wakitulia hapo ndiyo utaona utamu wa ndoa
 
Habarini wana jamii forum.

Hivi karibuni nimekuwa Kila nikiingia jukwaa la MMU nakutana na uzi za malalamiko ya ndoa,mada zingine za ukakasi,majibu ya ukakasi ilmrad tafran.

Swali ni je ni kweli ndoa ni ngumu na zimejaa changamoto kiasi hiko?Kama ni kweli kwanini watu wanazing'ang'ania?

kwanini mwanamke usipoolewa ama ukiwa single mom unatukanwa Sana na kudhalilishwa(Kuna nyuzi nyingi kuthibitisha hilo hapa jf) ikiwa ndoa ni changamoto kama nyuzi ziletwazo hapa jukwaan zisemazo.

Jukumu la kuitunza ndoa na kuifanya paradiso ndogo ni la nani Kati ya mke na mume?

Hahahaha msichukulie serious sana ni maswali ya kuhitaj kupata ufahamu tu.
Ndoa ni paradiso ndogo.
Wanandoa wasipokua mwili mmoja ndoa inageuka ndoano.

NB: Wengi wanaoufurahia ndoa zao hawaweki mabango ...
 
Ndoa ni nzuri kwa mwanaume aliyeoa mwanamke bikira tu ila kama umepata used(Ngoro) inakulinganisha tu na madereva waliopita
 
ni makosa tunayoyafanya sisi wanaume wewe unafikiri wanamioyo ya plastic hao ? unacheat akuangalie tu hapana usipocheat nao wanatulia na wakitulia hapo ndiyo utaona utamu wa ndoa
Unajidanganya wewe
 
Back
Top Bottom