Kiswahil kuna BKama kiswahili utakuwa na C wanakuchikua Kama una D jiandae private serikalini lazma combination ibalance dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora huyo kapata "D" kwani hujawaona walopata zero ya 35 it means hats kiswahili lugha take ameshindwa kupata D..Mimi ningelikuwa ndo napanga nani aende A level hakika nakuhakikishia nisingelikupa nafasi.
Unapataje Geo D!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa msaada wakoHapo inategemeana na cutpoint zitakazotolewa na serikali.. usijipe stress
Asante broBora huyo kapata "D" kwani hujawaona walopata zero ya 35 it means hats kiswahili lugha take ameshindwa kupata D..
Kwanza weka matokeo yao hapa usiwe unacrush ya watoto was watu tu
Kwa marks zake sizani anahitajikuanza certificate, ni diploma moja kwa moja.Aende chuo, huko form six kwa hizo hgl sijaona umuhimu wake, aende chuo kwa kuanza certificate mwaka moja, diploma miaka miwili na degree miaka mitatu.
Kwa kufanya uamuzi huu anaweza kuajiriwa kwa cheti cha diploma wakati wenzake wa form six hawawezi, atapitia mafunzo ya kazi (field) akiwa diploma wakati form six haina, wenzake wa form six wanavyoenda degree watakuwa wageni kwenye kuandaa assignment, mbinu za kufaulu, maisha ya chuo na vingine vingi ambavyo Dogo akienda chuo kwa sasa hatokuwa mgeni, atakwepa viboko vya form six, n.k
Unless unamuona ni kichwa basi aende 6 otherwise asije ishia kupata div 3 alafu asome ualimu!Samahan wakuu, Je, naweza nikaenda HGE au HGL kwa alama zifuatazo:
History-C
Geo-D
Math-D
English-C
Literature-C
Msaada wenu wakuu
Zamani walikuwa wanaruhusu, siku hizi hata ukipata division one lazima uanzie certificate, pia ni nzuri zaidi kupata elimu ya msingi chuoni kwa kuanzia kusoma certificate kabla ya diplomaKwa marks zake sizani anahitajikuanza certificate, ni diploma moja kwa moja.