Je, naweza kusoma Software Engineering kama nilisoma EGM?

Je, naweza kusoma Software Engineering kama nilisoma EGM?

Kuna vyuo vinapokea watu wa EGM kusoma engineering tena bila shida yeyote! Hayo mambo ya kusoma engineering lazima uwe na phy ni ya zamani!
Hahahaha

Mdogo wangu, kozi yoyote ya engineering huna phy na math a level huwezi kusoma huna sifa,
 
Hahahaha

Mdogo wangu, kozi yoyote ya engineering huna phy na math a level huwezi kusoma huna sifa,
Kwanza unatakiwa uwe na adabu unapoita watu usio wajua "mdogowangu" unaweza kuta unamuita hivyo baba ako bila kujijua!

Pili Unaongelea mambo usiyo yajua. Hivi ukifika chuo si wote mmnasoma hiyo phy ya form6 from scratch kwenye kozi inayoitwa engineering mechanics?

Achana na hiyo Nikupe mfano hai, kuna ofisi nnaijua ina injinia aliye soma egm na akaenda chuo kusoma engineering! Na huyu injinia ni moja kati ya mainjinia wanaotegemewa katika ofisi na mkoa kwa ujumla!

Kuna mwingine nnamjua yeye mpaka amesajiliwa kwa sasa professional engineer! Iko mifano mingi sana! Ila unatakiwa uache kukariri! Kitu cha muhimu katika engineering ni "pure mathematics" na mtu yeyote anaye jua hesabu anaweza kusoma engineering bila shida!
 
Kwanza unatakiwa uwe na adabu unapoita watu usio wajua "mdogowangu" unaweza kuta unamuita hivyo baba ako bila kujijua!

Pili Unaongelea mambo usiyo yajua. Hivi ukifika chuo si wote mmnasoma hiyo phy ya form6 from scratch kwenye kozi inayoitwa engineering mechanics?

Achana na hiyo Nikupe mfano hai, kuna ofisi nnaijua ina injinia aliye soma egm na akaenda chuo kusoma engineering! Na huyu injinia ni moja kati ya mainjinia wanaotegemewa katika ofisi na mkoa kwa ujumla!

Kuna mwingine nnamjua yeye mpaka amesajiliwa kwa sasa professional engineer! Iko mifano mingi sana! Ila unatakiwa uache kukariri! Kitu cha muhimu katika engineering ni "pure mathematics" na mtu yeyote anaye jua hesabu anaweza kusoma engineering bila shida!
Upo sahihi ila kuna "matawi" mengine ya uhandisi ni lazima usome physics.
 
Upo sahihi ila kuna "matawi" mengine ya uhandisi ni lazima usome physics.
Wala sio matawi wala nini! Na hata kama yapo basi ni machache sana ila kwa kiasi kikubwa is not a case!

Chukulia mechanical au electrical wote mkifika chuo semister ya kwanza mnasoma engineering mechanics yaani ile phy ya form6 mnairudia from scratch. Ukija kwenye engineering drawings hata wale walio soma pcm hawajawahi kuisoma popote so nao wanaanza moja! Kwenye hesabu nako mtarudia ile ya form6 ambayo hata egm wameisoma (tena wenda kaifaulu vizuri kabisa)!

Kwa muktadha huo utaona hii dhana ya kwamba lazima usome phy ndio usome engineering ni kama iishapitwa na wakati... sema kuna baadhi ya vyuo vimebaki na ukiritimba wa kizamani!

Engineering ni hesabu ukijua hesabu engineering haikusumbui!
 
Back
Top Bottom