Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 383
- 347
Habari wakuu,
Baada ya kufikiria walau kupata sehem ya kukaa iliyo karibu na mjini nimeona kuna apartment pale Magomeni za Watumishi Housing Corporation, sasa je kwa mtu wa kipato cha kawaida (net salary above 1M sina familia) naweza kuzipata?
Nikisema nijenge siwezi kupata kiwanja ambachi kipo karibu na mjini na hata nikipata gharama ni kubwa sana so ni bora niwe mpangaji mnunuzi.
Nakaribisha mwenye ushauri wowote.
Asante
Baada ya kufikiria walau kupata sehem ya kukaa iliyo karibu na mjini nimeona kuna apartment pale Magomeni za Watumishi Housing Corporation, sasa je kwa mtu wa kipato cha kawaida (net salary above 1M sina familia) naweza kuzipata?
Nikisema nijenge siwezi kupata kiwanja ambachi kipo karibu na mjini na hata nikipata gharama ni kubwa sana so ni bora niwe mpangaji mnunuzi.
Nakaribisha mwenye ushauri wowote.
Asante