Wote wako makini sana hawa vijana nashukuru namna wanavyopambana na chadema, sisi C C M tungepata mzee makamba akawa mkabala na Mzee Mukama wakashirikiana na hawa vijana makini wawili(Nape na Mwigulu) tungeshawamaliza kabisa Chadema. Hawa vijana wanapeleka chama chetu cha CCM vizuri sana
Wanasadia kuimalizia CCM.
Jambo moja nina hakika nalo, ADUI YAKO AKIKUSIFIA, JAMBO HILO LIACHE MARA MOJA!!ADUI YAKO AKIPONDA JAMBO HILO NDIO SAWASAWA LISHIKE USILIACHE. sasa kwakuwa CDM na wapambe wao wanawaponda Nape na Mwigulu sana, hawa ndio CCM inapaswa kuwashika sana maana WANAWASUMBUA SANA UPINZANI.