Hana time na watu wasio na ajira.. Hajawahi kukaa kitaa ana shida gani?Wewe unaona huyu Rais anaajiri vijana kweli??? Ajira kwa vijana kwake sio kipaumbele kabisaa
Jipe moyo, bado kidogo tu mambo yatakua poaWewe unaona huyu Rais anaajiri vijana kweli??? Ajira kwa vijana kwake sio kipaumbele kabisaa
makubwaNasikia ajira mpaka mwezi wa 11
wakitangaza utajua tu ata watoto wadodgo watakwambia!