Habari wanandugu,
Nije kwenye point moja kwa moja, mimi nilikua nafuatilia uhamisho wangu wa kutoka chuo fulani cha private kwenda chuo cha serikali.
Mimi nilimaliza mwaka wa kwanza na niliscore GPA 3.4 clinical officer nilipoingia mwaka wa pili nilisoma kidogo tu ila nikashindwa kumaliza ile semister maana niliishia kufanya mtihani mmoja tu kisha nikaandika barua ya kusitisha semister.
Barua niliyoandika niliomba nikaanze semister ya kwanza mwaka wa pili na kweli nilipata nafasi kwenye hiko chuo nilichoomba nikaenda chuoni kwangu nao wakanisainia ishu ikabaki NACTE nilipeleka barua ndani ya muda wao wa uhamisho.
Sasa NACTE wameshindwa kunihamisha kwa kudai nina matokeo ya semister ya kwanza siwezi kusoma tena hiyo semister chuo ninachoenda kwa kweli imenishangaza sana nimejaribu kuwaeleza hali ilivyokua lakini hawajanielewa ikanibidi niende chuoni kule nilipokua nasoma kuomba msaada nako nikatoswa muda umeenda na kule kurudi siwezi ada kubwa.
Je, nifanye nini hapo?
Nije kwenye point moja kwa moja, mimi nilikua nafuatilia uhamisho wangu wa kutoka chuo fulani cha private kwenda chuo cha serikali.
Mimi nilimaliza mwaka wa kwanza na niliscore GPA 3.4 clinical officer nilipoingia mwaka wa pili nilisoma kidogo tu ila nikashindwa kumaliza ile semister maana niliishia kufanya mtihani mmoja tu kisha nikaandika barua ya kusitisha semister.
Barua niliyoandika niliomba nikaanze semister ya kwanza mwaka wa pili na kweli nilipata nafasi kwenye hiko chuo nilichoomba nikaenda chuoni kwangu nao wakanisainia ishu ikabaki NACTE nilipeleka barua ndani ya muda wao wa uhamisho.
Sasa NACTE wameshindwa kunihamisha kwa kudai nina matokeo ya semister ya kwanza siwezi kusoma tena hiyo semister chuo ninachoenda kwa kweli imenishangaza sana nimejaribu kuwaeleza hali ilivyokua lakini hawajanielewa ikanibidi niende chuoni kule nilipokua nasoma kuomba msaada nako nikatoswa muda umeenda na kule kurudi siwezi ada kubwa.
Je, nifanye nini hapo?