Habari za muda huu wakuu, hivi kwa mtu anayesoma bachelor of arts in history (UDSM), kwa level ya masters anaweza kuchukua kitu gani? Au lazima aendelee na hiyo ya histoy..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshakutumia DM mkuumkuu nipe namba yako kutokana na iyo post yako nmeona uko katika hali sawa na mm....nipe namba yako tushauriane kuusu jambo ilo pengine tutasaidiana
Hiyo ada ya masters nenda veta kasome technician course yoyote.. iwe ya umeme, a.c , ama mechanics .. itakubeba sokoni kuliko hizo theory unazoenda kuzisoma kwenye masters kwa ada kubwa
Mkuu! Embu ongezea nyama hapa, nina degree ila nipo tu mtaani, nataka niende veta..
Kozi gani nzuri
Sent from my iPhone using JamiiForums
HakikaDaah..! mkuu B.A History na bado tena unatamani upige master's ya vitu kama hivyo..tuliza kwanza kichwa..utatumia gharama kubwa na pengine bado mambo yakawa magumu sana..!