Je mwarobaini una madhara?

flintsky

JF-Expert Member
Aug 14, 2016
654
744
Jf docta
Naomba kuuliza kama kuna madhara yoyote makubwa kwa kunywa mwarobaini.
Nimejizoesha kwa muda mrefu nikihisi au nikipima na kukutwa na malaria huwa nachemsha mwarobaini najifkiza kisha nakunywa na nimekuwa napata matokeo bora kuliko dawa za hospitali ambazo zimenishinda siku hizi kuzitumia sababu zinaniletea madhara baada ya mchache.
Hivyo nilitaka kujua kama mwarobaini una madhara kwa baadae ingawa inanisaidia sana na wakati mwingine nakunywa shubiri napona
 
Jf docta
Naomba kuuliza kama kuna madhara yoyote makubwa kwa kunywa mwarobaini.
Nimejizoesha kwa muda mrefu nikihisi au nikipima na kukutwa na malaria huwa nachemsha mwarobaini najifkiza kisha nakunywa na nimekuwa napata matokeo bora kuliko dawa za hospitali ambazo zimenishinda siku hizi kuzitumia sababu zinaniletea madhara baada ya mchache.
Hivyo nilitaka kujua kama mwarobaini una madhara kwa baadae ingawa inanisaidia sana na wakati mwingine nakunywa shubiri napona
Mchunga pia ni dawa nzuri ya malaria, yale majani ya sungura, kwetu ni mboga pendwa.
 
hiyo ni dawa bora kabisa cha msingi ni kuwa mwangalifu wakati wa matumizi, unaweza tumia kikombe kimoja cha robo cha chai mara mbili kwa siku asubuhi na jioni na matokeo yake huwa mazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom