ROSE1980 upo sahihi kabisa, eti pesa yake ni yake peke, na ya mwanamke ni ya wote....
Maisha jamani si ni kusaidiana, au ni kusaidiwa tu??
Yeye huwa anampa kwa upendo tu , mfano akienda safarii anaweza kumwambia mpenzi wangu nilitaka leo tupate dinner pamoja lakin kwa vile nipo mbali ntakutumia pesa ukapate dinner popote japo sipo jisikie tupo pamoja, ndiyo mojawapo ya stahili anayompa kumpa pesa, kuonesha kuwa anamjali japo yupo mbali naye.
km ni moyo bnt kaonyesha <br />
kwasasa anauliza kwa sababu anataka ndoa thats y anauliza wa swaga izi anafaaa au?
Na mimi nasema hivi mapenzi sio vitu wala mali bali ni moyo
Hapo dada kimbia fasta..
Ata mimi nshawai kua na tabia hiyo kwa dem.. Kifupi no love, he have some 1
Hapo dada kimbia fasta..
Ata mimi nshawai kua na tabia hiyo kwa dem.. Kifupi no love, he have some 1
<br />hey hey hey!dena kuna mahali unamiss kitu,,,tatizo siyo mapenzi ya vitu lkn hebu niambie huyo mwanaume responsibility yake anaionyesha kny nn maana huyo dada tumeona.
Mie nimeshasema anafaa sana huyo
Kwenda nospital, kumpeleka safari zake. Uliza tena
<br />
<br />
Kwenda hospital, kumpeleka safari zake. Uliza tena
<br />sema vzuri...kumpeleka safar zake mpk demu atoe ela ya wese ...ivi ata rafik tu wa kawaida una tatizo unamwomba lft na unajua mafuta anayo afu anakuambia weka mafuta ..mh utaendelea?<br />
km hana unajua hana lakin unajua yupo poa ila ndoivo tia mafuta twende wakat we daily wampa tafu...pananoga?<br />
<br />
<br />
mi sjui lakin ....HAFAI.
sema vzuri...kumpeleka safar zake mpk demu atoe ela ya wese ...ivi ata rafik tu wa kawaida una tatizo unamwomba lft na unajua mafuta anayo afu anakuambia weka mafuta ..mh utaendelea?
km hana unajua hana lakin unajua yupo poa ila ndoivo tia mafuta twende wakat we daily wampa tafu...pananoga?
mi sjui lakin ....HAFAI.
kumpeleka safari zake halafu achangie mafuta daily?ni mpenzi dreva tax?kwenda hosp without?utamtofautishaje mpenzi na mtu baki tena stranger?
hivi rose wanaume watakuwa wameisha?better stay single aisee!nahs dena anauona ukweli lkn ameamua kubisha maana namjua ubishi ni jadi yake
<br />hivi rose wanaume watakuwa wameisha?better stay single aisee!nahs dena anauona ukweli lkn ameamua kubisha maana namjua ubishi ni jadi yake
Aweke mafuta shida iko wapi?
<br />MI NASHNDWA KUELEWA <br />
cz dena najua ni kichwa anajua A -Z ya kitu sasa leo kujifanya amesahau akil zake bafun wakat anaoga mi achoka kabsa<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" />
MI NASHNDWA KUELEWA
cz dena najua ni kichwa anajua A -Z ya kitu sasa leo kujifanya amesahau akil zake bafun wakat anaoga mi achoka kabsa:bored::bored: