Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
carmel amekuelewa bahati nzuri yupo hapa anasoma maelezo yako,,asante kwa mchango wako.
Na huyu nnunu kapotelea wapi sasa?
ha ha ha ha h, the boss yamekuwa haya tena,,
anauliza eti unataka namba ya cm ya nini???
Umetufurahisha sana,,
Miaka tisa ni mingi kwa kijana kama huyu, mi nadhani miezi mitatu isingepita, khaaaa, kuna mwingine walikua wakienda gest mkaka anamwambia wanatoa hela ya kulipia nusu kwa nusu, yani maisha ni Pasu kwa Pasu. Mmmmh sasa huyu si ndo kazidi kabisa, khaa si bora awe peke yake tu huyo dada. Mmmmh mwanaume wa hivi apite kushoto.
SEMA WEWE MAMUSHKA,,ETI HATA PIPI YA SH 10?? mmmh!!
Nunnuu mi naomba unipe namba ya simu ya huyo mdada....
Umeanza eeh, utanikoma leo labda usirudi nyumbani.
BORA HUYO ALIWATOA WADOGO ZAKO HATA MARA MOJA, HUYU HAJAWAHI KUMTOA OUT KWA MIAKA YOTEizo 9.....NI MWANAMKE TU NDIYO ANAMTOA MWANAUME na wakienda wote wanaenjoy sana sana,ksb kwenye suala la uchangamfu mwanaume analo kwa 100%, upole lakin kwa maneno,kujitoa lakn muda wake tu. ila pesa mmm!!! hiyo HATOI KABISAAAAAAAA.
Muda wa kuwa pamoja na huyu mwanamke anao tena mwingi sana, tatizo ni huo uchoyo na ubahili.